Kagemro
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 1,433
- 633
Haya yote Magufuli anayashughulikia.
Ufisadi wa Magofuli hata wahi kulingana na ufisadi wa Lowasa.
Na ndiyo maana alisema nafuu huyu kuliko yule.
Mchawi mpe mtoto amlee,bado aliyoyasema ya naishi na kufanyiwa kazi...
Katika nafasi yake leo...na Amini anafanya mambo mengi...yeye si muamuzi....
Hivyo kijana tulia uone mambo yakishughulikiwa
Ufisadi wa Magofuli hata wahi kulingana na ufisadi wa Lowasa.
Na ndiyo maana alisema nafuu huyu kuliko yule.
Mchawi mpe mtoto amlee,bado aliyoyasema ya naishi na kufanyiwa kazi...
Katika nafasi yake leo...na Amini anafanya mambo mengi...yeye si muamuzi....
Hivyo kijana tulia uone mambo yakishughulikiwa