Kwaito Kwenda Mbele . . .

Kwaito Kwenda Mbele . . .

Mmmmmmm..........Allien kwa kudandia picha zilizobandikwa na wenzake na kuzifanya kaziweka yeye....zangu mbili keshazikopmalia zionekane kama kazipost yeye.........JF bwana....wee acha tuu.... angalau basi toa shukrani au bonyeza kibox cha thanks and like..........................haipendezi kudandia treni kwa mbele............nakusamehe bure ....labda hufahamu utendalo!!!!
Labda kwa kuwa kaanzisha uzi yeye Mama Mdogo....
 
Last edited by a moderator:
9%2Bcopy.jpg
Hapa katika hii picha nahisi kama ni ule wimbo wetu wa kitu uzima.... wameambiwa CHUNGULIAAA....!
 
Yaani hawa wameacha kazi wanacheza kwaito..


Hii ofisi kama naijua vile, sio TRA hapa, nawajua hawa majamaa. File langu wamekaa nalo zaidi ya mwezi mmoja, kumbe kazi yao ni kucheza kwaito ofisini...................................
 
Mmmmmmm..........Allien kwa kudandia picha zilizobandikwa na wenzake na kuzifanya kaziweka yeye....zangu mbili keshazikopmalia zionekane kama kazipost yeye.........JF bwana....wee acha tuu.... angalau basi toa shukrani au bonyeza kibox cha thanks and like..........................haipendezi kudandia treni kwa mbele............nakusamehe bure ....labda hufahamu utendalo!!!!
Mama Mdogo nilizikuza na kuziweka kwa nia njema kabisa na sikuwa na nia ya kuchukua creduit zako. najua umefanya kazi nzuri na kila anayeona anajua kuwa nimefanya kazi ya kuziweka sawa kama katika thread nyingine.

Hata hivyo nimefanya kosa kwa kukosa kukupa taarifa. Nisamehe kwa hilo.

Vinginevyo nakutakia kila la heri weekend hii utakapokua unacheza Kwaito kule nanihii . . .
 
Last edited by a moderator:
kwaito imepata umaarafu sanaa....hasa zile za kundi la malaika
 
Mama Mdogo nilizikuza na kuziweka kwa nia njema kabisa na sikuwa na nia ya kuchukua creduit zako. najua umefanya kazi nzuri na kila anayeona anajua kuwa nimefanya kazi ya kuziweka sawa kama katika thread nyingine. Hata hivyo nimefanya kosa kwa kukosa kukupa taarifa. Nisamehe kwa hilo. Vinginevyo nakutakia kila la heri weekend hii utakapokua unacheza Kwaito kule nanihii . . .


Mwana JF mwenzangu, nimekuelewa, umesomeka!!! Hapa kutana na picha ya mzazi mmoja (jina kapuni) akiburudika
na watoto wa shule moja ya sekondari (jina kapuni)kwa kucheza nao kwaito kwa kwenda mbele.

Na kweli
week end hii nimealikwa kwenye send off na arusi na huko hakuwezi kosekana kwaito na mimi siwezi kosa kuinuka kwenda kuburudika.....raha ya ngoma ni sharti uingie ucheze.....

X 1.jpg
 


Mwana JF mwenzangu, nimekuelewa, umesomeka!!! Hapa kutana na picha ya mzazi mmoja (jina kapuni) akiburudika
na watoto wa shule moja ya sekondari (jina kapuni)kwa kucheza nao kwaito kwa kwenda mbele.

Na kweli
week end hii nimealikwa kwenye send off na arusi na huko hakuwezi kosekana kwaito na mimi siwezi kosa kuinuka kwenda kuburudika.....raha ya ngoma ni sharti uingie ucheze.....

View attachment 54976
Mama Mdogo asante sana kama umenielewa.

Ila huyu mzazi lazima atakuwa ni wewe jamani.

Duh! huu mguu wako Utatanishi mtupu, nikutafutiana kesi saa hizi na niko katika mfungo binafsi.

Tuyaache hayo, hebu niambie utakuwa kona zipi wikiendi hii ili nami nijipitishe huko? Mengine tutaongea, nia yangu ni njema tu . . . lol

Tunaomba basi tubandikie picha nyingine Mama Mdogo, maana hizi zako zinavutia hasa.
 
enzi zetu tulikuwa tunaita JIVING, walikuwa wanacheza wanakwaya tu!!
siku hizi ndo minenguo!!!

Daa umenikumbusha mbali, Jaiving ilikuwepo boys bwana duuu Iyunga lilikuwa linapigwa ileile!
 
excuse me..............hii wanayocheza siyo kwaito,
Kwaito ni music genre na siyo staili ya kucheza, huo mtindo nilianza kuona wamarekani wakicheza kitambo kweli.
Ni kama kwenye bongo fleva unaona kina diamond wakicheza miondoko ya kikongo ndio ilivyo kwenye kwaito kuna mitindo mbalimbali ya dansi wanakuwa wakipendelea kucheza hasa kwasa nk.
Narudia tena huu mtindo hauitwi kwaito. Hata hao Malaika and the likes walioupa mtindo huu umaarufu hawapigi kwaito wanapiga afro pop.
 
Back
Top Bottom