Kwaito Kwenda Mbele . . .

Hivi south africa wanacheza kama tunavyocheza hapa mjini? Au hii ni version?
 
Kweli tumekuwa na taifa la wanenguaji,siku hizi kama hujui kucheza kwaito unaonekana mshamba,mimii nilijifungia na mama watoto tukajifunza sasa nimekuwa fundi wa kwaito..
 
Mkuu Allen naomba kuuliza hii style ya KWAITO asili yake ni wapi???? Naona wabongo wanaimudu kweli kweli! Ooops! asante kwa photos ni burudani tosha.
 
kweli kwaito imetushikia akili wabongo, hata ofisini ni kuserebuka tu, duh, kaaaaaaaaz kweli kwel
 
Maneno utaweka mwenyewe

DSC_0552.JPG
@Allien Picha iliyonivutia ni hii hapa huyo mchumba wa katk nimempenda mwahhhhh
 
Nimekukubali mkuu hiyo ni kwaito halisi,bila kwaito pale getini bi harusi hugoma kuingia ndani ,mpaka apigiwe kwaito ya kuingilia ,harusi yangu niliingia ukumbini kwa mdumange wa mzee Shauri kutoka pale muheza lakini siku hizi ni Kwaito,kwatu kwatu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom