Kwahiyo Makonda ndo basi tena?

Kwahiyo Makonda ndo basi tena?

Nsema

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
275
Reaction score
482
Hivi kwenye hizi teuzi zote,Makonda haonekani. Mama unampango gani na Makonda. Mbona alikuombea mema tu ulivyokuwa Msaidizi wa Sitta Kule Bungeni.

Msamehe Makonda Bado kijana mdogo. Amejifunza alipokosea.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwenye hizi teuzi zote,Makonda haonekani. Mama unampango gani na Makonda. Mbona alikuombea mema tu ulivyokuwa Msaidizi wa Sitta Kule Bungeni.

Msamehe Makonda Bado kijana mdogo. Amejifunza alipokosea.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kwani Kuna sehemu Kuna nafasi ipo wazi?
 
Hivi kwenye hizi teuzi zote,Makonda haonekani. Mama unampango gani na Makonda. Mbona alikuombea mema tu ulivyokuwa Msaidizi wa Sitta Kule Bungeni.

Msamehe Makonda Bado kijana mdogo. Amejifunza alipokosea.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Umejuaje amejifunza a yuu ha waifuz?
 
Hivi kwenye hizi teuzi zote,Makonda haonekani. Mama unampango gani na Makonda. Mbona alikuombea mema tu ulivyokuwa Msaidizi wa Sitta Kule Bungeni.

Msamehe Makonda Bado kijana mdogo. Amejifunza alipokosea.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Tanzania nzima unamuona Makonda tu? Acha unafiki
 
Aende akapige magoti amfungie viatu ridhiwani Kama kipindi kile.
 
inatosha sasa makonda kamjengea baba yake nyumba ya ghorofa pale igoma mwanza....na wengine sio vibaya wakipata nafasi hiyo aliyokuwa nayo makondo nao wawafanyie wazazi wao maendeleo
 
Hivi kwenye hizi teuzi zote,Makonda haonekani. Mama unampango gani na Makonda. Mbona alikuombea mema tu ulivyokuwa Msaidizi wa Sitta Kule Bungeni.

Msamehe Makonda Bado kijana mdogo. Amejifunza alipokosea.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kuna watu wengi wenye uwezo kwanini Raisi amchague mtu ambaye anazuiwa mpaka kusafiri na nchi rafiki na wadhamini wetu kwa ukatili. Itakuwa kitu cha ajabu sana
 
Hivi kwenye hizi teuzi zote,Makonda haonekani. Mama unampango gani na Makonda. Mbona alikuombea mema tu ulivyokuwa Msaidizi wa Sitta Kule Bungeni.

Msamehe Makonda Bado kijana mdogo. Amejifunza alipokosea.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Achana na hiyo taka taka ya Kolomije
 
Kuna watu wengi wenye uwezo kwanini Raisi amchague mtu ambaye anazuiwa mpaka kusafiri na nchi rafiki na wadhamini wetu kwa ukatili. Itakuwa kitu cha ajabu sana
Unaijua nafasi aliyonayo sasa?
 
Ni raia wa kawaida anafanya shughuli zake. Huyu walikosea kumpa kazi serikali ni akiwq bado na utoto
Mwingi
Ni raia wa kawaida? Ndio unavyojiongeopea? Najua hujui, na ndio nakuambia. Yupo bado serikalini na ana nafasi nzuri tu. Nakupa pole Kama hujui
 
Mpaka aka some kwa majina yake. Vijana mil 3 wapo mtaani wenye Sifa.
 
Back
Top Bottom