mi hawa ZUKU wamenichosha aswaa, kwenye king'amuzi chao hamna ITV, CLOUDS TV, CHANNEL TEN, STAR TV, zaidi ya TBC tu na wasafi sijui, kibaya zaidi kifurushi kikiisha uhoni chchote, nataka ninunue King'amuzi cha azam tu kwakweli
Najutaaa
Utamiss waarisBaada ya channels za Azam, ten, clouds na ITV kurudishwa na Azam Tv sasa imebidi kuwapa Star times kwaheri ya kuonana.
Binafsi nimeteseka sana kuwafuatilia kila inapotokea tatizo lakini huduma yao imekuwa hairidhishi. Kumbe hakuna kitu kibaya kama ukiritimba. Niwashukuru sana Azam tv na kwaherini ya kuonana star times
Kweli mmetutesa.
DSTV,,!? Kabisa,, kifurushi kinakata siku 25 badala ya 30 na kikikata hata TBC huioni,, DSTV hapana aiseeNjoo dstv huku full shangwe
DSTV,,!? Kabisa,, kifurushi kinakata siku 25 badala ya 30 na kikikata hata TBC huioni,, DSTV hapana aisee
Naunga mkonoBaada ya channels za Azam, ten, clouds na ITV kurudishwa na Azam Tv sasa imebidi kuwapa Star times kwaheri ya kuonana.
Binafsi nimeteseka sana kuwafuatilia kila inapotokea tatizo lakini huduma yao imekuwa hairidhishi. Kumbe hakuna kitu kibaya kama ukiritimba. Niwashukuru sana Azam tv na kwaherini ya kuonana star times
Kweli mmetutesa.
DSTV,,!? Kabisa,, kifurushi kinakata siku 25 badala ya 30 na kikikata hata TBC huioni,, DSTV hapana aisee
Ha ha haaa mkuu huku kila mtu eti ana Dstv, sisi wa Zuku na mchina taabu ipoKila mmoja anunue kunachomfaa kulipia hata 10000 wengine hatuwezi,hizo gharama tuwaachie wenye uwezo.
Sawa sikulazimishiInaelekea hujawahi tumia DSTV
Sawa mwezi uliopita tu nimelipia tarehe 2/8 tarehe 26/8 wakakata,,Tuwe tunaongea ukweli jamani. Umesema uongo kabisa. Huijui DSTV