Kwaherini ndugu zangu.....Mola akijaalia tutaonana!

Nilifikirai wataka kufa......kwi kwi kwi kwiiwiwiwiiw.....:mad2:
 
Dah umenishtua mm nilijua unataka Ujisalule haya bana kila la kheri Idd njema.
tupo pamoja mpwa :cheer2::cheer2::cheer2:
 


Unaongelea mwezi upi? Ni mbalamwezi au ni ule mwezi wa mzunguko wa siku 28?
 
Asprin usipoonekana leo lazima tuunganishe nyota ziwe mwezi..IDD NJEMA
Ahsante mkuu! Avatar yako inazidi kung'arisha njia ya mwezi kuandama!

Hommie kanigongee pale niweke kumbukumbu hi maneno haitoshi!!:becky:
Usipate tabu hommie! Shuhudia kwa hapa!
The Following User Says Thank You to Kimey For This Useful Post:
Asprin (Today)​
Hahahahah mimi na Mzenj wangu mwezi lazima uonekane leo! Si unajua alikuwa amefunga sasa yale mambo yaleeeeeeeeeeee yalikuwa hayapo kwa mchungaji!

IDD Mubarak wote!

Mchungaji hebu piga sala mbingu zishuke kiduchu nipate kuuona mwezi vizuri!
 

mkuu kwa huzuni nikafundua nikujua NDUGU YETU MKONO WA JK UMEMPELEKA AFGHANISTAN AMA SUDAN KUTUMIKIA JAMII...INSHALLAHA NAWE PIA FURAHA KUBWA ZIWAENDEE WALE WAUZAJI WA KITIMOTO PALE SINZA WALIOKUWA WAKISALI NA KUFUNGA MWEZI UISHE BIASHARA IRUDI KUNDINI
 
Kwa neema ya Mwenyezi Mungu, aliye na uwezo na mamlaka ya kila kitu juu na chini ya mbingu. Tunaungana na mitume na wapakwa mafuta wote Mwezi onekana tumechoka kukosa yale mambo muhimu.

Amen
 
Nadhani umeelewa sasa kwanini NI LAZIMA MWEZI UANDAME leo!!

Mi nilikuelewa toka kitambo tu kiongozi wangu!lakini sikuona kama ni tatizo sana!kwani wewe ulikuwa hupiti maeneo kimtindo japo kwa suna tu?
 
Kwa neema ya Mwenyezi Mungu, aliye na uwezo na mamlaka ya kila kitu juu na chini ya mbingu. Tunaungana na mitume na wapakwa mafuta wote Mwezi onekana tumechoka kukosa yale mambo muhimu.

Amen

Ameeeen!!

Ngoja nianze kuperuzi namba za ammmm Hawa, Zainab na Asha......Niliwamisi sana hawa asee!

Maskini kina Mary na Viki ntawakosa muda si mrefu manake jamaa zao ndio hivo tena Mwezi hauna jinsi lazima uandame leo LOL!
 
Mi nilikuelewa toka kitambo tu kiongozi wangu!lakini sikuona kama ni tatizo sana!kwani wewe ulikuwa hupiti maeneo kimtindo japo kwa suna tu?


Tatizo ile kitu haiwi tamu bila kuwa na Zainabu au Asha wangu kwa pembeni.... soma katikati ya mistari hapo kamanda!
 
Hivyo, kuanzia kesho PSSSS..... zitakuwa nyingi kwenye bar na vilabuni....! Hata bei ya "Husband Day Care" itapanda...!

hahahahaha! Ngoja nikachekee nje kwanza...LOL
 
Kwa neema ya Mwenyezi Mungu, aliye na uwezo na mamlaka ya kila kitu juu na chini ya mbingu. Tunaungana na mitume na wapakwa mafuta wote Mwezi onekana tumechoka kukosa yale mambo muhimu.
Amen
Ubarikiwe mtumishi!! Naunga na wewe pamoja na watakatifu wote.....Leo lazima uandame!
 
Hivyo, kuanzia kesho PSSSS..... zitakuwa nyingi kwenye bar na vilabuni....! Hata bei ya "Husband Day Care" itapanda...!

Aspirin, ''miss of the month'' :mabaamed walikosa watu wa kuwapeti peti?
 
Hivyo, kuanzia kesho PSSSS..... zitakuwa nyingi kwenye bar na vilabuni....! Hata bei ya "Husband Day Care" itapanda...!

Kweli mkuu tulikuwa tunakunywa kwa amani na kwa fraha hakuna bugdha sasa itakuwa full mbabanano.
 
skukuu lazima nguo mpya........mshanunua kwanza au mnataka kwenda kwa kina mwanahewa na chausiku na magwanda yaliyotumika muda mrefu! :confused2:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…