asprin mwezi unautafuta mchana? hapo kama itabidi utumie binocular ya rangi nyeusi hivi! :confused2:
You Can Say That Again! Hapa nimeshalonga na meneja wa Zero pub aweke stock ya kutosha.... Manake jogoo awike asiwike kesho ni sikukuu ya IDI!
:confused2::confused2::confused2::noidea::noidea::noidea::help::help::help:eep:eep:eep::hurt:Luv, hayo magwanda mapya unayoongelea, mengine yanafuliwa kila siku na yanaonekana mapya tu, sasa sijui utajuaje hili ni jipya ama la zamani ukichukulia kuwa hayaweki alama kama yametumika labda uwe umepita msitu wenye miba:confused2::A S 8:
Ha ha ha... Asprin sema wewe hutaki kwenda kazini kesho na kesho kutwa... LOL...
Ha ha ha... Asprin sema wewe hutaki kwenda kazini kesho na kesho kutwa... LOL...
:confused2::confused2::confused2::noidea::noidea::noidea::help::help::help:eep:eep:eep::hurt:
:confused2::confused2::confused2::noidea::noidea::noidea::help::help::help:eep:eep:eep::hurt:
usaidiwe kitu gani? ....kuna tatizo la tarakishi au kuna tatizo la kimaana?
Hhahahaha! hommie bana! naona ulikuwa unafanya lojistiksi za:A S-heart-2: mi nakupa :thumb: badaye ntaku:cell: unipe feedback. Kwa sasa ngoja ni :tape2: kukwepa hii kitu:ban: asee. kwa sasa ngoja nirudi :focus:lane:lane:lane::A S-heart-2::bathbaby::bathbaby::thumb:halafu wewe unahotaji :ban::ban:kama ya Acid hapa
There are currently 14 users browsing this thread. (6 members and 8 guests)
Ebwanae! Mpaka mwenye nyumba yuko hapa? Ngoja nisepe nisijekula ban!
teh teh!wewe balaa.umekuwa mswali suna mpka uone leo lazima?
name calling hommie... "Mwenye nyumba" ni name calling kwa mujibu wa sheria za JF kwa msaada wa watu wa Obama!
Ishu ni mwezi kuonekana leo. Iwe mchana au usiku, jioni au alfajiri, adhuhuri au alasiri. Lazima kieleweke....TAKUKURU naomba mnilinde tafadhali!
Nani alikudanyanya hautaandama? Mwezi NI LAZIMA narudia tena LAZIMA uandame leo!