Kwaherini ndugu zangu.....Mola akijaalia tutaonana!

kama ni hiyo tuwe makini kuna jamaa walitupitia bar moja tabata wakatangaza anaetaka kufa akae kushot anaetaka kuawitiwa akae kulia huku ukiacha kila kitu cha mkononi mfukoni mezani uwezi kuamini karibu wote tulikimbilia kulia ;;;hawa jamaa wana makao yao tegeta so mnaokunywa huko mjiandae bahati wamemaliza kukusanya vitu wakadai wameshau condom watarudi kesho wakaondoka wa tabata mnajua hili ...wazee walitokea tegeta mwisho tena wastarabu
enheee kesho yake ikawaje
 
Back
Top Bottom