Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru Karibu Mamlaka Kamili

Baraghash

JF-Expert Member
Dec 18, 2012
2,713
1,786
Wenye nyoyo ziliosononeka na sura za huzuni, Viongozi wa Wandamizi TFF, jana walijivisha ngozi ya kondoo kujumuika na Wazanzibari kusheherekea ushindi mkubwa walioupata kukubaliwa kuwa mwanachama wa CAF,

Viongozi hawa wa TFF na wengine wenye fikra za mgando wamezisahau kauli zao za kusikitisha na kukatisha tamaa kuwa Zanzibar haiwezi kuwa mwanachama wa CAF kwa vile Zanzibar si " nchi" kamili

Kauli zao leo zinawasuta na wanajaribu kuzilainisha kwa kusema kuwa uwakilishi wa Tanzania sasa umepanuka zaidi.

TFF walijisahau kujua kwamba Zanzibar katika nyanja nyingi ikiwemo soka inajuulikana zamani kuliko Tanganyika. TFF walijisahau kuwa Zanzibar inaheshimiwa na nchi nyingi barani Afrika na wanajua kinachoendelea kuhusu mustakabali wa Zanzibar ndani ya Muungano.


Leo Bendera ya Zanzibar inapepea mjini Cairo, Makao Makuu ya CAF na wimbo wa Taifa huru la Zanzibar utaanza kunguruma barani Afrika na watu kulazimika kusimama kwa heshima.

Hiyo ndio Zanzibar tuitakayo:Kwaheri Ukoloni,Kwaheri Uhuru Karibu Mamlaka Kamili!


 
Wenye nyoyo ziliosononeka na sura za huzuni, Viongozi wa Wandamizi TFF, jana walijivisha ngozi ya kondoo kujumuika na Wazanzibari kusheherekea ushindi mkubwa walioupata kukubaliwa kuwa mwanachama wa CAF,

Viongozi hawa wa TFF na wengine wenye fikra za mgando wamezisahau kauli zao za kusikitisha na kukatisha tamaa kuwa Zanzibar haiwezi kuwa mwanachama wa CAF kwa vile Zanzibar si " nchi" kamili

Kauli zao leo zinawasuta na wanajaribu kuzilainisha kwa kusema kuwa uwakilishi wa Tanzania sasa umepanuka zaidi.

TFF walijisahau kujua kwamba Zanzibar katika nyanja nyingi ikiwemo soka inajuulikana zamani kuliko Tanganyika. TFF walijisahau kuwa Zanzibar inaheshimiwa na nchi nyingi barani Afrika na wanajua kinachoendelea kuhusu mustakabali wa Zanzibar ndani ya Muungano.


Leo Bendera ya Zanzibar inapepea mjini Cairo, Makao Makuu ya CAF na wimbo wa Taifa huru la Zanzibar utaanza kunguruma barani Afrika na watu kulazimika kusimama kwa heshima.

Hiyo ndio Zanzibar tuitakayo:Kwaheri Ukoloni,Kwaheri Uhuru Karibu Mamlaka Kamili!
yani huu muungano na hawa wazanzibari unatia hasira uvunjwe tu

binafsi yangu sijaona maslahi yake zaidi ya kujikombakomba na kujipendekeza, kwanza bara nchi yetu kubwa, hawa wa visiwani hawana ishu ni wa kutemwa tu, pambav zao
 
Hili ni pigo kubwa katika ofisi za Lumumba,baada ya Zanzibar kuanza kutambuliwa kimataifa kwa upande wa michezo kama taifa uhuru.

Baada ya mafuta kupatikana Zanzibar na wazanzibar kupata uhalali wa kuchimba mafuta kama wazanzibar pasipokuingiliwa na utawala wa Tanganyika mfu,Zanzibar itakuwa na nguvu kubwa za kiuchumi sambamba na kuzidi kujulikana zaidi kimataifa,kitendo ambacho kitaifanya Zanzibar kupata support kubwa kutoka mataifa mbalimbali katika harakati zake za kutaka Zanzibar kutambuliwa kama taifa huru kimataifa.
 
Wenye nyoyo ziliosononeka na sura za huzuni, Viongozi wa Wandamizi TFF, jana walijivisha ngozi ya kondoo kujumuika na Wazanzibari kusheherekea ushindi mkubwa walioupata kukubaliwa kuwa mwanachama wa CAF,

Viongozi hawa wa TFF na wengine wenye fikra za mgando wamezisahau kauli zao za kusikitisha na kukatisha tamaa kuwa Zanzibar haiwezi kuwa mwanachama wa CAF kwa vile Zanzibar si " nchi" kamili

Kauli zao leo zinawasuta na wanajaribu kuzilainisha kwa kusema kuwa uwakilishi wa Tanzania sasa umepanuka zaidi.

TFF walijisahau kujua kwamba Zanzibar katika nyanja nyingi ikiwemo soka inajuulikana zamani kuliko Tanganyika. TFF walijisahau kuwa Zanzibar inaheshimiwa na nchi nyingi barani Afrika na wanajua kinachoendelea kuhusu mustakabali wa Zanzibar ndani ya Muungano.


Leo Bendera ya Zanzibar inapepea mjini Cairo, Makao Makuu ya CAF na wimbo wa Taifa huru la Zanzibar utaanza kunguruma barani Afrika na watu kulazimika kusimama kwa heshima.

Hiyo ndio Zanzibar tuitakayo:Kwaheri Ukoloni,Kwaheri Uhuru Karibu Mamlaka Kamili!
Hongereni sana wenzetu wa Zanzibar, hii admission ya CAF ni mwanzo mzuri kuelekea Mamlaka kamili. Hatua ya pili ni Fifa, hatua ya tatu AU, hatua ya 4, UN na hatua ya mwisho ndipo tugawane fito na kupeana mkono wa Kwaheri. Tumechoka kuwabeba kila siku watu hawabebeki, umeme bure, mishahara bure, elimu bure, ajira bure, shukrani hawana kila siku ni ghubu mwanzo mwisho, bora muende, tena muende salama ila sio siri, tutawamisi sana.

Paskali
 
Nilijua utajitokeza licha umesitiriwa ndani ya chupa. Mi mmoja wa wale waliokuwa wanahubiri propaganda ya Zanzibar sio nchi. Leo kaumbuka ila amejitokezawa vile wale wasiokuwa na haya wana mji wao. Hongera Bwana "njaa"

ZXanzibar itapeleka hoja kuwa Hamna uhalali wa kutumia jina la Tanzania wakati wa Mshindano wala Bendera ya Tanzania. Tutasasambua kidogo kidogo.Ukali wa pilipili hoho sia ukubwa wa Biringani.

Hongereni sana wenzetu wa Zanzibar, hii admission ya CAF ni mwanzo mzuri kuelekea Mamlaka kamili.
Congratulation in disguise! Inakuumeni Ni kudokeze kidogo, yule mjumbe wa TFF aliekuwa kisiki na kupiga kampeni za siri Zanzibar ikatawaliwe kuwa mwanachama wa CAF kwa visingizio vya kitoto na viliokosa mashiko nae amegonga ukuta kwa kushindwa vibaya. Nampa pole ya furaha.
hatua ya mwisho ndipo tugawane fito na kupeana mkono wa Kwaheri.
Kwanini tugawane fito? tutawatia mchwa wamalize kazi. Kwanini tukupeni mkono wa kwaheri kwani tulipeana mikono mlipotupora nchi bila ya ridhaa yetu.
Tumechoka kuwabeba kila siku watu hawabebeki
Semeni ukweli , sio mmechoka kutubeba labda baadhi yenu mmechoka kukojolwa mgongoni kila siku. Mmsahau mlipoifanya Zanzibar kuwa shamba la bibi.Umejaribu kuyaorodhesha mambo yakujitakiwa wenyewe kuwa sasa ni kero, lakini umeshindwa kuorodhesha shena ya unyonyonyaji kutoka kwenu; kuanzia mgawao wa hisa wa Benki kuu, kutumia Zanzibar Chanel kupitisha meli zenu bila kuilipa Zanzibar, kulipa mgawao wa 4% wa faida ya mapato ya mambo ya Muungano Orodha ni ndefu. Hii ndio sababu mnatishia kukata umeme lakini hamuwezi kwa vile Zanzibar inaidai Tanganyika mpaka shingoni. Sisi ni wastaarabu tu, tunajua kula na kipofu Tanganyika.
 
Ni hatua nzuri kutafuta kutambuliwa na umoja wa mataifa,maana kama CAF imewatambua kwa nini umoja wa mataifa usiwatambue kama nchi?.
Zanzibar unganeni si mbali mtauona mwanga wa uhuru
 
Nafikiri watawala wenu CCM,wamesikia naona wanatafakari kwa mbaali.Kazeni uzi mwisho mtashinda.
 
Nilijua utajitokeza licha umesitiriwa ndani ya chupa. Mi mmoja wa wale waliokuwa wanahubiri propaganda ya Zanzibar sio nchi. Leo kaumbuka ila amejitokezawa vile wale wasiokuwa na haya wana mji wao. Hongera Bwana "njaa"

ZXanzibar itapeleka hoja kuwa Hamna uhalali wa kutumia jina la Tanzania wakati wa Mshindano wala Bendera ya Tanzania. Tutasasambua kidogo kidogo.Ukali wa pilipili hoho sia ukubwa wa Biringani.
Congratulation in disguise! Inakuumeni Ni kudokeze kidogo, yule mjumbe wa TFF aliekuwa kisiki na kupiga kampeni za siri Zanzibar ikatawaliwe kuwa mwanachama wa CAF kwa visingizio vya kitoto na viliokosa mashiko nae amegonga ukuta kwa kushindwa vibaya. Nampa pole ya furaha.

Kwanini tugawane fito? tutawatia mchwa wamalize kazi. Kwanini tukupeni mkono wa kwaheri kwani tulipeana mikono mlipotupora nchi bila ya ridhaa yetu.
Semeni ukweli , sio mmechoka kutubeba labda baadhi yenu mmechoka kukojolwa mgongoni kila siku. Mmsahau mlipoifanya Zanzibar kuwa shamba la bibi.Umejaribu kuyaorodhesha mambo yakujitakiwa wenyewe kuwa sasa ni kero, lakini umeshindwa kuorodhesha shena ya unyonyonyaji kutoka kwenu; kuanzia mgawao wa hisa wa Benki kuu, kutumia Zanzibar Chanel kupitisha meli zenu bila kuilipa Zanzibar, kulipa mgawao wa 4% wa faida ya mapato ya mambo ya Muungano Orodha ni ndefu. Hii ndio sababu mnatishia kukata umeme lakini hamuwezi kwa vile Zanzibar inaidai Tanganyika mpaka shingoni. Sisi ni wastaarabu tu, tunajua kula na kipofu Tanganyika.
Swadakta!.
Paskali
 
Back
Top Bottom