Lakini kwa hapa bongo umewahi kuona kampuni yoyote ya kimtandao isiyokuwa na kwikwi?Mkuu leo almost siku nzima App ya nmb iko down..hatuwezi kufanya miamala.
Mda huu app imepata wazimu, au ni kwangu tu🤔NMB app ni moja ya apps stable sana...
Mda huu app imepata wazimu, au ni kwangu tu🤔
Duh mm pesa zimekatwa na hazijafika sehemu husika, ila kwenye app wananiambia muamala haujakamilikaIpo down, sio kwako tu...
Ilianza kwa miamala kutokutoka, baada ya muda ikapiga chini...
Nmb wako poa mfano leo wanaopokea Salary kutoka NMB washasaza....CRDB wanapa rangi upepo bado...shubaramit!!Bank gani kila mara changamoto?
Leo NMB mobile siku nzima hakuna mtandao. Na si mara ya kwanza. Mimi binafsi ninechoka, nitahamisha mshahara wangu bank inayojielewa, maafisa utumisha watake wasitake.
Haiwezekani hii bank iwe na inconvenience kila mara. Huduma kwanza hovyoo. Back to NBC. Very smart. NMB na CRDB mmelewa wateja.
Fungua app mda huuNmb wako poa mfano leo wanaopokea Salary kutoka NMB washasaza....CRDB wanapa rangi upepo bado...shubaramit!!
Mkuu mbona nmb app ya Sasa Haina hiyo picha ya huyo mdada na bodaboda siku nyingi sana,Yeah nafahamu, nimepata hiyo shida pia...
View attachment 3547703
But sio kwamba ndio app kimeo, jamaa wanajitahidi sana kiasi kwamba kwa mwaka unaweza kukuta wana downtime ya mara 1 au 2 tu...
Natumia app yao, master card yao ya tanzanite (tap service) na prepaid card yao nikiwa nchi yeyote...
nenda Azania bank kumbe ni bank ya serikali mmiliki mwenye hisa kubwa ni PSSSF akifuatiwa na NSSF na WCF.Bank gani kila mara changamoto?
Leo NMB mobile siku nzima hakuna mtandao. Na si mara ya kwanza. Mimi binafsi ninechoka, nitahamisha mshahara wangu bank inayojielewa, maafisa utumisha watake wasitake.
Haiwezekani hii bank iwe na inconvenience kila mara. Huduma kwanza hovyoo. Back to NBC. Very smart. NMB na CRDB mmelewa wateja.
Hakuna bank yenye ufanisi porini.Bank gani kila mara changamoto?
Leo NMB mobile siku nzima hakuna mtandao. Na si mara ya kwanza. Mimi binafsi ninechoka, nitahamisha mshahara wangu bank inayojielewa, maafisa utumisha watake wasitake.
Haiwezekani hii bank iwe na inconvenience kila mara. Huduma kwanza hovyoo. Back to NBC. Very smart. NMB na CRDB mmelewa wateja.
Duh mm pesa zimekatwa na hazijafika sehemu husika, ila kwenye app wananiambia muamala haujakamilika
Mkuu mbona nmb app ya Sasa Haina hiyo picha ya huyo mdada na bodaboda siku nyingi sana,
Nliwaza asubuhi wanikute mlangoniNaamini watarejesha, maybe subiri after 24hrs
Nisamee mkuu, nilijisahau kusoma tarehe ya postKwa sababu umequote post ya Feb mzee...
Hawa CRDB ni wapuuzi mno, nimekatwa pesa mpaka leo wananizungusha tu, zero brainNenda Crdb kama unadhani hakuna sehemu yenye changamoto,
Azania hawana matawi mengi, Bado changa sana. Na ata bank isipokuwa ya serikali siyo ishu. Hakuna Sheria inalazimisha hilo.nenda Azania bank kumbe ni bank ya serikali mmiliki mwenye hisa kubwa ni PSSSF akifuatiwa na NSSF na WCF.
Ungesoma vizuri bila kukurupuka ungeelewa.Nenda Crdb kama unadhani hakuna sehemu yenye changamoto,
Nliwaza asubuhi wanikute mlangoni