Kwaheri CDF Jenerali Mabeyo

Kama ni mkuu wa majeshi yote mbona sijawahi kumuona ametembelea polisi au magereza?
Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini kwenye sherehe za kitaifa mfano sherehe za uhuru Rais ambaye pia ni amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama huingia uwanjani kwenye gari la wazi akiwa ameambatana na CDF, hukagua gwaride la Majeshi ya ulinzi na usalama akiwa na CDF na hata anapoketi jukwaani pembeni yake anakaa CDF? Afu jiulize pia kwanini siyo IGP, mkuu wa magereza,nk?
 
Huyu alimsaidia maza kuwa Rais vinginevyo bila huyu jamaa asingekuwa, Mwamunyange ni Mwenyekiti wijui wa bodi ya nini nimesahau
Hapana hakumsaidia mkuu, bali alifanya kazi yake iliyomuweka pale kwa mujibu wa sheria. Kutii mamlaka ya raisi, kuilinda na kuisimamia katiba ni moja ya majukumu yake kama mkuu wa jeshi, hata ingetokea wakati wa Mwamunyange pia angefanya hivyo.
 
Kosa kubwa alilofanya huyu CDF anayeondoka ni kuruhusu jeshi kuingilia uchaguzi wa 2020 hasa Zanzibar. Hapa aliboronga na ataingia kwenye historia. Video clips tunazo.
 
Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini kwenye sherehe za kitaifa mfano sherehe za uhuru Rais ambaye pia ni amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama huingia uwanjani kwenye gari la wazi akiwa ameambatana na CDF, hukagua gwaride la Majeshi ya ulinzi na usalama akiwa na CDF na hata anapoketi jukwaani pembeni yake anakaa CDF? Afu jiulize pia kwanini siyo IGP, mkuu wa magereza,nk?
Huu ni mfano mzuri, ngoja tuone atajibuje.
 
Kosa kubwa alilofanya huyu CDF anayeondoka ni kuruhusu jeshi kuingilia uchaguzi wa 2020 hasa Zanzibar. Hapa aliboronga na ataingia kwenye historia. Video clips tunazo.
Mbona Unafukua Makaburi Nakukumbusha Tu Kwenye Mazuri Na Mabaya Yapo
 
Kosa kubwa alilofanya huyu CDF anayeondoka ni kuruhusu jeshi kuingilia uchaguzi wa 2020 hasa Zanzibar. Hapa aliboronga na ataingia kwenye historia. Video clips tunazo.
Mwaka 2001 ulikuwepo? Kwahiyo ulitaka jeshi liangalie uvunjifu wa amani nchini, kisa tu kuna chama au vyama vimeshindwa uchaguzi?
 
Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini kwenye sherehe za kitaifa mfano sherehe za uhuru Rais ambaye pia ni amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama huingia uwanjani kwenye gari la wazi akiwa ameambatana na CDF, hukagua gwaride la Majeshi ya ulinzi na usalama akiwa na CDF na hata anapoketi jukwaani pembeni yake anakaa CDF? Afu jiulize pia kwanini siyo IGP, mkuu wa magereza,nk?
Sasa kwanini hafanyi ziara hata siku moja uhamiaji, polisi au magereza?
 
Kwanza kabisa napenda kukusalim kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ama baada ya salam zang, natumia haki yang ya kikatiba kama mtanzania kukupongeza kwa kazi kubwa uliyoifanya kama kiongozi wetu mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama.

Ki ukweli taifa na dunia kwa ujumla tutakukumbuka kwa utendaji wako wa kazi mzuri uliotukuka, tutakukumbuka kwa usimamiaji wako wa sheria jeshini na kutumia cheo chao kuilinda na kuisimamia katiba yetu, tutakukumbuka kwa kuondoka ukiiwacha nchi yetu ikiwa katika mikono salama, lakini pia utakumbukwa kwa kutii mamlaka ya raisi kwa mujibu wa katiba na sheria zetu za nchi.

Unakwenda kuwa miongoni mwa viongozi wa jeshi waliokuwa na walio bora muda wote. Najua nina mengi ya kuandika kuhusu sifa na weledi wako mkubwa ulioonesha katika keshi letu, ila kutokana na muda naomba niishie hapa.

Asanteni.
Umeandikwa vzr sana na kweli
 
Hapana hakumsaidia mkuu, bali alifanya kazi yake iliyomuweka pale kwa mujibu wa sheria. Kutii mamlaka ya raisi, kuilinda na kuisimamia katiba ni moja ya majukumu yake kama mkuu wa jeshi, hata ingetokea wakati wa Mwamunyange pia angefanya hivyo.
Wazee wazima walikuwa hawataki awe, Jiwe alitaka maza awe kabla ya kufa alimwambia jamaa ndiyo maana alisema kuna siri
 
Mwaka 2001 ulikuwepo? Kwahiyo ulitaka jeshi liangalie uvunjifu wa amani nchini, kisa tu kuna chama au vyama vimeshindwa uchaguzi?
Wanajeshi walipiga sana raia na kushiriki kuharamisha matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2020. That is the fact na CDF alishiriki uchafuzi huu. Dhambi anayo. Hasafishiki kwa hili.
 
Wanajeshi walipiga sana raia na kushiriki kuharamisha matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2020. That is the fact na CDF alishiriki uchafuzi huu. Dhambi anayo. Hasafishiki kwa hili.
Kila siku mnaambiwa msiwaamini sana wanasiasa, lkn vijana mmekuwa hamuelewi. Mwaka 2008 wanasiasa wa upinzani kina Lisu, Mbowe, Msigwa, Zito na wengineo waliwaambieni kuwa Lowasa ni fisadi papa na kamwe hastahili kushika wadhifa wowote serikalini. Mwaka 2015 wale wale wanasiasa kina Lisu, Mbowe, Msigwa na wengineo wakawaambia tena kwamba Lowasa sio fisadi na kwamba anastahili kushika nafasi ya juu zaidi serikalini ikabidi wawashawishi ili mumchague awe raisi. Miaka kadhaa iliyopita mch Msigwa aliwahi kumtuhumu komredi Kinana na mambo ya ujangili, lkn swala lilipofika mahakamani na Msigwa kutakiwa kwenda kutoa ushahidi, alishindwa kwenda na mwisho ikaamriwa kuwa alipe faini kwa kumchafua Kinana au aombe radhi, Msigwa akaomba radhi kwa uongo aliofanya kumchafua Kinana. Zito aliwahi kudai kule Kigoma kuna wilaya fulani watu walikuwa wanauwawa na kutupwa porini, alipoitwa polisi kutoa ushahidi Zito alikosa ushahidi wa kupeleka polisi na matokeo yake kila mtu akajua kama jamaa ni muongo. So kwa aina hii ya siasa za bongo sitashangaa mwanasiasa kukumezesha uongo mungine kama huu uliyoandika hapa kwa manufaa yake mwenyewe na genge lake. Na ww bila kufikiri uongo wao, ukaamua kukubali na kuamini kila unaloambiwa na wanasiasa. Mh Kikwete aliwahi kusema "akili ya kuaombiwa changanya na yako" sio uwe mtu wa kukubali kila unalomezeshwa na wanasiasa.
 
Wazee wazima walikuwa hawataki awe, Jiwe alitaka maza awe kabla ya kufa alimwambia jamaa ndiyo maana alisema kuna siri
Hivi mkuu unaamini jiwe ndio alitaka mama awe, au katiba ya nchi ndio ilimtaka mama awe? Inawezekana kweli kuna watu walikuwa na tamaa na kile kiti, lkn isingewezekana wao kukikalia kwa mujibu wa katiba. Hata kama mkuu wa majeshi angekuwa Mwamunyange nina imani asingeruhusu hilo litokee kamwe.
 
Kila siku mnaambiwa msiwaamini sana wanasiasa, lkn vijana mmekuwa hamuelewi. Mwaka 2008 wanasiasa wa upinzani kina Lisu, Mbowe, Msigwa, Zito na wengineo waliwaambieni kuwa Lowasa ni fisadi papa na kamwe hastahili kushika wadhifa wowote serikalini. Mwaka 2015 wale wale wanasiasa kina Lisu, Mbowe, Msigwa na wengineo wakawaambia tena kwamba Lowasa sio fisadi na kwamba anastahili kushika nafasi ya juu zaidi serikalini ikabidi wawashawishi ili mumchague awe raisi. Miaka kadhaa iliyopita mch Msigwa aliwahi kumtuhumu komredi Kinana na mambo ya ujangili, lkn swala lilipofika mahakamani na Msigwa kutakiwa kwenda kutoa ushahidi, alishindwa kwenda na mwisho ikaamriwa kuwa alipe faini kwa kumchafua Kinana au aombe radhi, Msigwa akaomba radhi kwa uongo aliofanya kumchafua Kinana. Zito aliwahi kudai kule Kigoma kuna wilaya fulani watu walikuwa wanauwawa na kutupwa porini, alipoitwa polisi kutoa ushahidi Zito alikosa ushahidi wa kupeleka polisi na matokeo yake kila mtu akajua kama jamaa ni muongo. So kwa aina hii ya siasa za bongo sitashangaa mwanasiasa kukumezesha uongo mungine kama huu uliyoandika hapa kwa manufaa yake mwenyewe na genge lake. Na ww bila kufikiri uongo wao, ukaamua kukubali na kuamini kila unaloambiwa na wanasiasa. Mh Kikwete aliwahi kusema "akili ya kuaombiwa changanya na yako" sio uwe mtu wa kukubali kila unalomezeshwa na wanasiasa.
Video za wanajeshi kupiga raia zipo na haziongopi. Mabeyo hasafishiki
 
Hii sio hoja mkuu, hata waziri mkuu hajawahi kutembelea wizara kibao, lakini haiondoi ukweli kuwa yeye ndio mkuu wa mawaziri wote.
Ni waziri mkuu gani huyo ambaye kuanzia anapata hiko cheo hadi anakiacha asiwahi kutembelea wizara hata moja

Na hata ikitokea hiyo siyo hoja sababu nchi yetu inamtambua waziri mkuu kama mkuu wa wizara zote

CDF anatambulika kama chief of defense forces (majeshi ya ulinzi) siyo na security forces (majeshi ya usalama)
 
Back
Top Bottom