Kwaheri Balozi Simon Sirro

Kwaheri Balozi Simon Sirro

Idofu

Senior Member
Joined
Oct 24, 2022
Posts
124
Reaction score
214
Nimeona kwenye mitandao ya Kijamii kuwa umeagwa rasmi ndani Jeshi la Polisi, tunakupongeza kwa utumishi wako!!

Naomba nikukumbushe,yule uliyekuwa unampiga vita Sana na kumpelekea maneno ya majungu kwa Rais JPM dhidi yake na kwa kuwa ulijua kuwa ni tishio kwako ndio amekuwa IGP wa Sasa! Kwa hiyo, Jioni wakati unahitimisha siku yako ya kuagwa, jaribu ukae nae na umwambie asahau yaliyopita mgange yajayo!!

Pia, nikudokeze kuwa wale Askari wa Zanzibar uliowaweka miezi 4 mahabusu kwa amri ya kwako binafsi kupitia kwa yule ofisa uliyemtuma kutoka Makao Makuu-Dodoma watakufilisi walikuwa wanaisubiri siku ya leo!!

Yule ofisa uliyemtuma alivyokuwa mjanja,hakuacha maandishi popote pale katika sakata lote lile,na mpaka linafikishwa Mahakama hayupo katika orodha ya mashahidi ingawa yeye ndie alikuwa kocha Mkuu kwa niaba yako.

Mwisho, nakutakia kila la kheri katika Kustaafu kwako!!
 
Nimeona kwenye mitandao ya Kijamii kuwa umeagwa rasmi ndani Jeshi la Polisi,tunakupongeza kwa utumishi wako!!

Naomba nikukumbushe,yule uliyekuwa unampiga vita Sana na kumpelekea maneno ya majungu kwa Rais JPM dhidi yake
Unajidanganya Sana mkuu fikra za ki chagga gang hizi
 
Hakuna penye unafuu, mtaani wakianza kuona umeanza kupiga hatua utapigwa majungu kama yote na kulogwa utalogwa, wakiona umeshuka ndio watafurahi
Kazini majungu ni mengi, na kwenye biashara wenye husda na wachawi ni wengi, pia kwenye siasa chawa na wanafiki ni wengi. Hii ndio Tanzania.
 
Nimeona kwenye mitandao ya Kijamii kuwa umeagwa rasmi ndani Jeshi la Polisi,tunakupongeza kwa utumishi wako!!

Naomba nikukumbushe,yule uliyekuwa unampiga vita Sana na kumpelekea maneno ya majungu kwa Rais JPM dhidi yake na kwa kuwa ulijua kuwa ni tishio kwako ndio amekuwa IGP wa Sasa!! Kwa hiyo,Jioni wakati unahitimisha siku yako ya kuagwa,jaribu ukae nae na umwambie asahau yaliyopita mgange yajayo!!

Pia,nikudokeze kuwa wale Askari wa Zanzibar uliowaweka miezi 4 mahabusu kwa amri ya kwako binafsi kupitia kwa yule ofisa uliyemtuma kutoka Makao Makuu-Dodoma watakufilisi walikuwa wanaisubiri siku ya leo!!

Yule ofisa uliyemtuma alivyokuwa mjanja,hakuacha maandishi popote pale katika sakata lote lile,na mpaka linafikishwa Mahakama hayupo katika orodha ya mashahidi ingawa yeye ndie alikuwa kocha Mkuu kwa niaba yako!!

Mwisho,nakutakia kila la kheri katika Kustaafu kwako!!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mbona unayo yaandika yamekosa utulivu...
una hoja...kumbuka IGP ana Kinga...balozi ana Kinga...
 
unajidanganya Sana mkuu.fikra za ki chagga gang hizi
Sio Kwamba Nina chuki na Balozi hapana,ninamtakia kila la kheri,nimempa tu dondoo kitu kinachoendelea!!

Wale Askari wanamshtaki yeye Kama yeye na sio Kama IGP Wala Balozi!,aliwaweka Askari 11 mahabusu kwa miezi 4 bila ya hatia Wala kuwasikiliza!!,wanampiga Unlawful dentention!!PGO yao inasema Askari haruhusiwi kuweka mahabusu zaidi ya 24!!

Anyway,tuliache hili,na Kipindi kile Musiba ilikuwa hivi hivi!!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom