Kwa wenye vipara au vipara vinavyoanza

Nipo around 34 nywele zimeisha kichwani ngoja nijaribu ukiwa unawaza Sana sjui hili husababisha nywele kutoka kichwani
Magonjwa ya ngozi na ukosefu wa virutubisho husababisha nywele kuwa weak... Hvyo kutoka kwa urahisi kichwani. Jaribu hayo am sure yataleta difference.. Mm nmeyatumia kipara kimesepa.
 
Magonjwa ya ngozi na ukosefu wa virutubisho husababusha nywele kuwa weak... Hvyo kutoka kwa urahisi kichwani. Jaribu hayo am sure yataleta difference.. Mm nmeyatumia kipara kimesepa.
Asante nitanunua nianze kutumia Leo ngoja nitafte Kama nitapata
 
Magonjwa ya ngozi na ukosefu wa virutubisho husababisha nywele kuwa weak... Hvyo kutoka kwa urahisi kichwani. Jaribu hayo am sure yataleta difference.. Mm nmeyatumia kipara kimesepa.
Yanapatikana wapiiiii???

Mimi natumia ya t444z naaona mabadiliko kwa mbaaali sana.

Haya naweza yapata wapi ili niyatumie?
 
Aaah mimi hiii siamini bhana.
kipara ni nature ,kama asili yenu kwenu kuna vipara utakomaza utosi tu kwa madawa ,kwani kipara kina tatizo gani mpaka kupambana nacho.
sory kama nimekuharibia biashara yako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…