johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,028
Awamu ya kwanza UVCCM wenye Uzalendo ndani ya mioyo yao tuliwatambua kwa muonekano wao
Kwanza walipendelea kufuga nywele kama Mwembe
Pili walikuwa wanabeba Mikoba kama Ule wa Tundu Lisu aliokwenda nao Ikulu walipoalikwa na JK
Hawakujiita Wazalendo bali waliitwa Wazalendo
Lakini Wazalendo wa Siku hizi Wananyoa Vipara na kutembelea V8 huku wakijiita " mimi Mzalendo"
Tumetoka mbali ila tunakoenda ni mbali zaidi
Mlale Unono!
Kwanza walipendelea kufuga nywele kama Mwembe
Pili walikuwa wanabeba Mikoba kama Ule wa Tundu Lisu aliokwenda nao Ikulu walipoalikwa na JK
Hawakujiita Wazalendo bali waliitwa Wazalendo
Lakini Wazalendo wa Siku hizi Wananyoa Vipara na kutembelea V8 huku wakijiita " mimi Mzalendo"
Tumetoka mbali ila tunakoenda ni mbali zaidi
Mlale Unono!