tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
wakuu nina printer hapa, hp deskjet 2050A....Ni mara ya pili sasa nanunua catridge na zinabuma baada ya muda mfupi<hii ya pili sijafikisha hata copy 100>, Je ni kawaida yake huo ubovu au kuna mahala nakosea katika matumizi....kwa mnaozitumia mnapata matatizo gani? Je ni printer gani ambayo ni cheap na inafaa kwa kutoa copy nyingi yaani za biashara.,naombeni mawazo yenu wadau.