TheCombination
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 370
- 727
Mimi natafuta anayeuza odds tu
Utapigwa mkuuMimi natafuta anayeuza odds tu
Kuna kamanda wangu mmoja alituuzia sana back old days na mnalipana baada ya kushinda sema cku hiz ka staafu kwenye huu utumwaUtapigwa mkuu
Unatuvuruga zaidiKuna kitabu kimeandikwa na waisrael ,ila kimkubeikwa kwa kiarabu ,kila elimu nzima ya kubet madukani huuzwa elfu NNE ,jina lake huitwa ( abuu maashara) hupatikana maduka ya vitabu kiarabu ,ataenunua nipo radhi kuanza mfundisha ,ahsanteni
Mimi natafuta anayeuza odds tu
Kuna kamanda wangu mmoja alituuzia sana back old days na mnalipana baada ya kushinda sema cku hiz ka staafu kwenye huu utumwa
Unatuvuruga zaidi
Hatari. Kubet ni bahati japo kuna weakness pia za kuangaliaSio kidogo mkuu anatuvuruga mno watu tunapasuka sana halaf anasema kuna kitabu alooo
Kwamba kitabu kimeandikwa na waisrael kwa kiarabu ila ye ndio awe mwalimu🤣🤣🤣Hivi kama hamjaelewa kama anatafuta soko la vitabu vyake