Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Labda niongezeongezee tu nguo za mtoto kuchanganya na nguo za watu wazima hili nalo sio zuri kwa afya ya mtoto pia hata mazuria au yale madubwasha yakufutia miguu nayo si mazuri kwa afya ya mtoto kwasababu ni wengi wanakanyaga kwenye mazuria na hayo madude ya kufutia miguu sasa na watoto ndio wadau wakubwa wa kupenda kucheza kwa kugalagala chini na tukumbuke ngozi ya mtoto sio sawa na mtu mzima ni rahisi sana kupick bacteria kutoka kwenye hayo mazuria n.k.
Aaamen barikiwa zaidi kwa hii nyongeza
 
Jamani loh atachekwa ukubwani subiri tafadhali hakuna madhara japo najua kuna wataalam watakuja na hoja za kupinga hili
Mshana, sio kama nakupinga ila tupe sababu za tohara ya utotoni inapelekea vibamia! Binafsi nilifanyiwa utotoni lakini niko sawa sawa.
 
Mshana, sio kama nakupinga ila tupe sababu za tohara ya utotoni inapelekea vibamia! Binafsi nilifanyiwa utotoni lakini niko sawa sawa.
Cases zinatofautiana..... Sababu moja ya jumla haiwezi kufanya kazi kwa wengine wote
 
  • Thanks
Reactions: THT
Asante kwa mada nimejifunza kitu ila naombeni msaada jamani mwanangu ana miezi minne ila kuna kitu sikielewi kwake uume wake ausimami kama ya watoto wengine, mwanzoni sikujuakwan ndo mwanangu Wa kwanza hivyo mama angu Mkwe ndo akaniambia sasa nashindwa nifanye nn ki ukweli kila nikimwangalia mwanangu naumia sana naombeni kwa anayefahamu dawa ama jinsi ya kutatua tatizo anisaide.

Asanteni
 
Asante kwa mada nimejifunza kitu ila naombeni msaada jamani mwanangu ana miezi minne ila kuna kitu sikielewi kwake uume wake ausimami kama ya watoto wengine, mwanzoni sikujuakwan ndo mwanangu Wa kwanza hivyo mama angu Mkwe ndo akaniambia sasa nashindwa nifanye nn ki ukweli kila nikimwangalia mwanangu naumia sana naombeni kwa anayefahamu dawa ama jinsi ya kutatua tatizo anisaide,,, Asanteni
Miezi minne naona kama ni mapema sana kupata wasiwasi... Jaribu kumchunguza alfajiri akiamka uangalie pia kama kuna erection yoyote
 
Asante kwa mada nimejifunza kitu ila naombeni msaada jamani mwanangu ana miezi minne ila kuna kitu sikielewi kwake uume wake ausimami kama ya watoto wengine, mwanzoni sikujuakwan ndo mwanangu Wa kwanza hivyo mama angu Mkwe ndo akaniambia sasa nashindwa nifanye nn ki ukweli kila nikimwangalia mwanangu naumia sana naombeni kwa anayefahamu dawa ama jinsi ya kutatua tatizo anisaide,,, Asanteni
Mapema mno madame. Kienyeji tulikuwa tunapima kwenye maji. Unasimama kwenye maji mengi ya kiuno.Uume ukielea tunajua huo ni mzima. Ukilala tuliambiwa ni uhanithi.
Kama utaweza, kachezee kadudu uone kama katasimama au dogo atacheka.
 
Mapema mno madame. Kienyeji tulikuwa tunapima kwenye maji. Unasimama kwenye maji mengi ya kiuno.Uume ukielea tunajua huo ni mzima. Ukilala tuliambiwa ni uhanithi.
Kama utaweza, kachezee kadudu uone kama katasimama au dogo atacheka.
Learned something new
 
Pole sana sana nakushauri uende ukaione damu yako tafadhali..kuna kitu mtoto anapitia na hicho ndio kinamletea vilio vya kila Mara...please jitahidi uende

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli, mimi pia ilitokea hivyo mtoto alikuwa anamsumbua mama yake kwakulia usiku na mchana, ila kwakuwa ni mtoto wa pili na nimeishapatapata ufahamu kidogo kuhusu uhusiano wa mtoto na wazazi ikabidi niende kumsalimia huko alikoenda kujifungulia mke wangu, ila baada ya kufika na kumsalimia mwanangu mambo yalibadilika na akaacha kulia kabisa.

Waweza ona kama mila potofu ila ukweli kuna vitu vya imani pale baba unapomwona mtoto na kumpa maneno ya baraka naye utulia
 
kwanza anasema nya ukimuweka kwa pot hakai anatoka kisha dakika kumi nyingi anajinyeai akishajinyea ndo anasema nya huku anashika nguo,nkikatandika na chelewa juzi nikamuelekeza pot ameelwa miezi 19 kumbe wanatest zari hawa
 
Maombi pia nimuhimu kwa mtoto kabla hujaenda kazini hakikisha unamwombea mtoto na kumkabidhi mikononi mwa Mungu ukimtenga na ajari na maneno mabaya lakini pia hakikisha unamwombea na uyo mdada ili awe na upendo kwa watoto na kumtenga na hasira maana watoto kukaa nao masaa kadhaa ni taabu kama Mungu hausiki.
 
Maombi pia nimuhimu kwa mtoto kabla hujaenda kazini hakikisha unamwombea mtoto na kumkabidhi mikononi mwa Mungu ukimtenga na ajari na maneno mabaya lakini pia hakikisha unamwombea na uyo mdada ili awe na upendo kwa watoto na kumtenga na hasira maana watoto kukaa nao masaa kadhaa ni taabu kama Mungu hausiki.
Na ni muhimu kumfundisha kusali tangu akiwa mdogo
 
kwa watoto wanaosumbua kula kuna dawa inaitwa pharmactin
hii dawa huwa inasaidia sana kumuongezea mtoto hamu ya kula ila kwa experiency nilo nayo ukiandikiwa dozi ukaanza kumpa akianza kuchanganya kula usiendelee na dozi maana atakuwa msumbufu wa kuhitaji kula


Ushauri wa pili kama unasimu na unamuachia mtoto kuangalia video iweke kwenye flight mode

muwekee mtoto wako education videos za shule za chekechea kuliko kumuwekea nyimbo za bongofleva au video za ajabu ajabu. hili ninaushuda nalo kwa mwanangu niliye naye kwa sasa ana miaka miwili lkn anajua namba hadi 20 na anafahamu ABC...Z kutamka akiziona na kuziandika

mkaririshe mwanao namba moja wapo ya mzazi hii itakusaidia sana
mlishe mwanao samaki kwa wingi hasa sato au sangara inasaidia ukuaji wa ubongo na akili kwa mtoto

tenga muda wa kucheza na watoto wako hii inasaidia kumjengea mtoto mapenzi ya wazazi na kujiamini na kutokuwa na nidhamu ya woga

mjengee mwanao mazoea ya kuhoji na kuweza kutoa sababu ya anachohoji

hata kama uwe busy vipi jitahidi kuwatoa wanao out mkiwa wazazi wote wawili baba na mama. Jitahidi walau kula pamoja na watoto wako hata chakula cha jioni.

usigombane na mkeo au mumeo huku watoto wanashuhudia.
usimuongelee mabaya mkeo au mumeo mbele ya watoto.
Jitahidini kila mara watoto wawaone wazazi mna furaha.
Salini pamoja na watoto wenu kwa wakristo waweza teua mtoto aongoze sala
kwa waislamu kama wasalia nyumbani baba ongoza sala ila ukimaliza mwambie mtoto aombe dua.

mpongeze mpe zawadi mtoto pindi afanyapo jambo lolote zuri.
Afya ya mwanao ni muhimu fuatilia afya ya mwanao na tabia za mwanao mueleze wajibu wake ni nini kama mtoto na wewe kama mzazi wajibu wako nini
Mueleze mali ulizonazo ni zenu ninyi wazazi anatakiwa yeye baadae atafute mali zake atapokuwa mkubwa.

unapofikiria kuchepuka au kumfanyia vitimbi mwenzio kwenye ndoa ujue mwisho wa siku mtaachana na hakika nakiri Hakuna Mama kama mama na hakuna baba kama baba. hivyo mwanao hatopata malezi bora kama kutoka kwa baba halisi au kwa mama halisi, kwakuwa hakuna mzazi halisi apendae mwanae kuwa na mwisho mbaya.

Usimueleze mwanao matatizo ya baba yake au mamaake akiwa bado mdogo badala yake tatue matatizo na tofauti zenu kabla hamjapanda kitandani kulala. maana penye maudhi shetani hutawala mwaweza fanya tendo la ndoa mkazaa shetani badala ya binadamu Mshana Jr anaweza tolea ufafanuzi hili.

Ikumbukwe mtoto ni wako anapokuwa mdogo lkn akikua huwa ni wa jamii inayomzunguko lea mwanao kwa maadili mazuri ili tuwe na jamii Bora

Kumbuka hakuna mtu yeyote atayekulelea mwanao kama wewe mwenyewe mzazi.

Kumbukeni kuna maisha baada ya watoto wasisitize wanao kuheshimu kila binadamu duniani


Kama hakuna ulizima usimpeleke mwanao boarding school akiwa vidudu na shule ya msingi, hii inaweza sababisha mtoto akakosa mapenzi na mzazi.
msikilize mwanao usipende kumkatisha anapokuambia jambo hata kama nila kitoto au kipuuzi msikilize then shauri au onya au pongeza kutegemeana na jambo lenyewe. usipofanya hivyo utasababisha asijekukuambia lolote na akajenga nidhamu ya woga kwako.

Mwambie mwanao akuheshimu ila asikuogope
 
Ni kweli, mimi pia ilitokea hivyo mtoto alikuwa anamsumbua mama yake kwakulia usiku na mchana, ila kwakuwa ni mtoto wa pili na nimeishapatapata ufahamu kidogo kuhusu uhusiano wa mtoto na wazazi ikabidi niende kumsalimia huko alikoenda kujifungulia mke wangu, ila baada ya kufika na kumsalimia mwanangu mambo yalibadilika na akaacha kulia kabisa! waweza ona kama mila potofu ila ukweli kuna vitu vya imani pale baba unapomwona mtoto na kumpa maneno ya baraka naye utulia

Wakati mwingine Mtoto hulia kukataa jina mlilompa
 
Siku ya kwanza kumshika mwanao baada ya mama kujifungia mpe salam. sio mambo lahasha mwambie
Amani iwe juu yako kuanzia siko yako ya kuzaliwa na siku ya kufa kwako.
then
muombee mwanao dua.

kama wewe ni muislam kumbuka kumfanyia hakika mtoto wako. kwa mkristo kumbuka kumbatiza mwanao.

toa sadaka kwa ajili ya mwanao na kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa kukujaalia mtoto
 
Siku ya kwanza kumshika mwanao baada ya mama kujifungia mpe salam. sio mambo lahasha mwambie
Amani iwe juu yako kuanzia siko yako ya kuzaliwa na siku ya kufa kwako.
then
muombee mwanao dua.

kama wewe ni muislam kumbuka kumfanyia hakika mtoto wako. kwa mkristo kumbuka kumbatiza mwanao.

toa sadaka kwa ajili ya mwanao na kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa kukujaalia mtoto
 

kaka nahitaji mada ya hii kama waweza tafiti kama kunauhusiano maana niliwahi ambiwa na shangazi baada ya kuwekwa saba moja kabla sijaoa

Usimueleze mwanao matatizo ya baba yake au mamaake akiwa bado mdogo badala yake tatue matatizo na tofauti zenu kabla hamjapanda kitandani kulala. maana penye maudhi shetani hutawala mwaweza fanya tendo la ndoa mkazaa shetani badala ya binadamu Mshana Jr anaweza tolea ufafanuzi hili.

cheki hiyo para shetani anazaliwaje kwa maudhi
 
kaka nahitaji mada ya hii kama waweza tafiti kama kunauhusiano maana niliwahi ambiwa na shangazi baada ya kuwekwa saba moja kabla sijaoa

Usimueleze mwanao matatizo ya baba yake au mamaake akiwa bado mdogo badala yake tatue matatizo na tofauti zenu kabla hamjapanda kitandani kulala. maana penye maudhi shetani hutawala mwaweza fanya tendo la ndoa mkazaa shetani badala ya binadamu Mshana Jr anaweza tolea ufafanuzi hili.

cheki hiyo para shetani anazaliwaje kwa maudhi
Kwenye mahusiano kuna watu wawili wanahusika.. Wale wapendanao ama wenye hisia za mapenzi.....
Mnapokuwa uchi kitandani.,. Mmefunga mlango na madirisha na pengine mmezima taa... Mko wawili tu kimwili... Ila kiroho mko wane... Wa tatu ni. Mungu mkuu na wa NNE ni shetani
 
Back
Top Bottom