Tafadhali naomba mwaliko kama hutojaliKuna mada yake ngoja nikualike
Mmh pole sana hebu fanya apatikane kwanza... Kisha nijulishe tuweze kufanya mazungumzo ya faraghaKuna watoto ukilea inabidi uwe na roho ngumu sana. Muda huu nazunguka kumtafuta mtoto. Actually ni mtoto wa sista wangu, ninamlea yuko standard 3. Nimezunguka tangu sa 2 usiku, time hii imebidi nikae grocery nipate K vant akili ikae sawa. Hii ni tabia ya kudumu. Dogo ikifika weekend hataki kukaa home, kuna muda anaamka saa 12 asbh anafungua geti kwenda kucheza na humpati hadi sa 2 usiku. Na hyo saa 2 ni hadi umtafute. Kama njia za kidiplomasia nimetumia sana, viboko nimechapa sana. Hebu nishaurini wakuu nitumie njia ipi?
ok mkuu. Acha nirudi kazini.Mmh pole sana hebu fanya apatikane kwanza... Kisha nijulishe tuweze kufanya mazungumzo ya faragha
mkuu thanks God nimempata.Mmh pole sana hebu fanya apatikane kwanza... Kisha nijulishe tuweze kufanya mazungumzo ya faragha
Hii kitu ni kweliMkuu hii kitu ina ushahidi wa kisayansi kweli? Manake mi nilichanjwa mapema sana lakini alhamdullah mashine saizi ya ujivuni..
yah, yuko salama. Kwa kweli sikumsemesha chochote wala kumuadhibu.Mungu ni mwema.. Yuko vizuri? Hajadhurika? Kama hujamwadhibu usifanye hivyo tafadhali
Si kweli kuwa asali na tangawizi ni dawa ya PNEUMONIA. Tunashauriwa kutumia xhai ya rangi iliyoungwa asali au sukari ya kawaida na anyweshwe kama kitulizo cha kikohozi.Mshana ungefafanua vizuri kuhusu Asali, nijuavyo ni hatari sana kumpa mtoto mdogo Asali mbichi. At least akishazidi miaka mi5.
Kuhusu Pneumonia inasababishwa zaidi na baridi. Ukimwona mtoto anatetemeka sanaaa wakati wa baridi usitumie dawa yoyote zaidi ya chai ya rangi yenye tangawizi kidogo then mfunike alale. Akiamka yupo shwariii.
Shukran mshana jr kwa ubunifu wa mada hii.
Kumpuliza ni mambo ya mapokeo but it doesnt work scientifically MshanaKama mtoto akipaliwa unapaswa kufanya nini?
Wengi wetu hukimbilia kumpa maji au kumpiga piga mgongoni bila kujua hasa nguvu anayotumia hii ni hatari kwa afya ya mishipa na mifupa ya mtoto
Mtoto akipaliwa mpulize taratibu kwenye paji la uso na hata puani
Mi nataka kujua ile dhana ya kitovu kumuangukia mtoto wa kiume sehemu zake za siri na uhanithi ipo vipiMakuzi ya mtoto kiakili
Makuzi ya mtoto kimwili
Makuzi ya mtoto kimaadili
Naamini tuna wataalam wengi kwenye hizo nyanja ambao watakuja na mada zenye kujenga na kuelimishana.