TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,917
- 11,317
- Thread starter
- #21
Mimi mbona sijapata tatizo? ebu fuatilia labda ni simu yako tu.
Naweza ku-confirm kwamba haikuwa simu yangu tu!!! Basi na kwa siku za karibuni kwa wale wanaotumia zain watakubaliana na mimi kumekuwa na nyakati mtu unaambiwa your phone is not reachable while its reachable
The only reason i brought this up is because tIGO charged even though i couldnt hear anything from the other side