tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,353
- 7,302
Ndio mkuu, nakusanya taarifa za kutosha nifanye maamuziHahahaa nilikuahidi mzee. Poa ngoja nitafanya ivo. Unakomaa na Hybrid ee.
Ndio mkuu, nakusanya taarifa za kutosha nifanye maamuziHahahaa nilikuahidi mzee. Poa ngoja nitafanya ivo. Unakomaa na Hybrid ee.
Kwanza nilijua pikpik,Una nini jamani
Yeah, luxury suvs sedqns ni kwa ajili waliojipata, ukiwa bado na una kibunda chukua gari za mid budget tu nyingine fqnya investments, tatizo bongo watu wabishi sanaRoho ya paka.
Hatutaki kuonekana wanyongeYeah, luxury suvs sedqns ni kwa ajili waliojipata, ukiwa bado na una kibunda chukua gari za mid budget tu nyingine fqnya investments, tatizo bongo watu wabishi sana
Kikubwa ukitoka nalo Dar kwenda Mliayoyo,likuyufusi,amani makolo wanasema Bambo katoka Daslam na gariNkajua zinazungumzwa gari za maana, kumbe viberiti,
Gari utasema kobe, khaaaaah!!!
Mxxxxiiiiieeeew
DaahKwanza nilijua pikpik,
Kucheki hivi eti gari, bas niione hiyo gari, kumbe hata kirikuu kina afadhari.
Woiiiiiiih
Sasa mkuu uzi wote umeumaliza mtoa mada ataongea nini tena 😁😁. NATANIAHybrid: Wana Hybrid version za Honda Fit kuanzia 2nd generation. Nzuri sana.
RS: Kama wewe ni mtu wa sports tafuta RS version kuanzia 2nd generation. Ina muonekano mzuri. Fog lights, paddle shifters, bumper sports, nyuma rear wings.
Shuttle: Hii ni special edition ya Honda fit ila ni kubwa zaidi. Inafaa kwa familia ni kubwa (extended) zaidi.
Sasa atafute hela kijana alete chuma iko.Sasa mkuu uzi wote umeumaliza mtoa mada ataongea nini tena 😁😁. NATANIA
Yeah iko safi ,,,lavda spea ndo iwe mtitiSasa atafute hela kijana alete chuma iko.