tamsana
Platinum Member
- Jan 13, 2012
- 3,836
- 8,257
Ndio mkuu, nakusanya taarifa za kutosha nifanye maamuziHahahaa nilikuahidi mzee. Poa ngoja nitafanya ivo. Unakomaa na Hybrid ee.
Ndio mkuu, nakusanya taarifa za kutosha nifanye maamuziHahahaa nilikuahidi mzee. Poa ngoja nitafanya ivo. Unakomaa na Hybrid ee.
Kwanza nilijua pikpik, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una nini jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yeah, luxury suvs sedqns ni kwa ajili waliojipata, ukiwa bado na una kibunda chukua gari za mid budget tu nyingine fqnya investments, tatizo bongo watu wabishi sanaRoho ya paka.
Hatutaki kuonekana wanyongeYeah, luxury suvs sedqns ni kwa ajili waliojipata, ukiwa bado na una kibunda chukua gari za mid budget tu nyingine fqnya investments, tatizo bongo watu wabishi sana
Kikubwa ukitoka nalo Dar kwenda Mliayoyo,likuyufusi,amani makolo wanasema Bambo katoka Daslam na gariNkajua zinazungumzwa gari za maana, kumbe viberiti,
Gari utasema kobe, khaaaaah!!!
Mxxxxiiiiieeeew [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1] DaahKwanza nilijua pikpik, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kucheki hivi eti gari, bas niione hiyo gari, kumbe hata kirikuu kina afadhari.
Woiiiiiiih
Sasa mkuu uzi wote umeumaliza mtoa mada ataongea nini tena 😁😁. NATANIAHybrid: Wana Hybrid version za Honda Fit kuanzia 2nd generation. Nzuri sana.
RS: Kama wewe ni mtu wa sports tafuta RS version kuanzia 2nd generation. Ina muonekano mzuri. Fog lights, paddle shifters, bumper sports, nyuma rear wings.
Shuttle: Hii ni special edition ya Honda fit ila ni kubwa zaidi. Inafaa kwa familia ni kubwa (extended) zaidi.
Sasa atafute hela kijana alete chuma iko.Sasa mkuu uzi wote umeumaliza mtoa mada ataongea nini tena 😁😁. NATANIA
Yeah iko safi ,,,lavda spea ndo iwe mtitiSasa atafute hela kijana alete chuma iko.
Duh nilisahau mambo mengi. Hii honda fit 2010 sio hybrid Mrejesho uko hiviWe fala tu.
Mbona hujaleta mrejesho hadi leo
Changamoto kubwa ni group clearance, barabara zetu zinawekwa matuta bila kipimo maalum. Pia mafuta machafu vituo vingi vya mafuta sio salama kwa afya ya magari.Mi nataka tuzungumzie kuhusu changamoto za honda Fit ambazo watumiaji wamekuwa wakikutanaza nazo
Asante
Kazuri sana kanaonekana tu. Ata kufika nako 2030 rahisi.Duh nilisahau mambo mengi. Hii honda fit 2010 sio hybrid Mrejesho uko hivi
Changamoto
- Ulaji wa mafuta uko vizuri kama ukizangatia uendeshaji highway unapata 15km/L, na mjini inakwenda 13-14km/L full AC
- Ndani ina nafasi pia sit za abira unaweza kulaza ukaweka mizigi yako
- Haka kagari ukikatunza kwa fundi utaenda kufanya service tu. Ni imara hata katika rough road kanahimili. Kuna wakati naenda nayo shamba bila tabu.
- Ni rahisi sana kuendesha "msukanio" mwepesi sana na inachanganya speed vizuri ili sio kwa ajili ya ligi za barabarani.
- Spea zinapatikana
Ushauri wangu uko hivi, kama unajipanga kununua gari yako ya kwanza kwa ajili ya shughuli zako town na bajeti ya ni ya wastani honda fit iko poa sana. Chagua toleo kuanzia 2010 hutajutia.
- Gari iko chini sana ni shida kupita nayo kwenye hizi bumps zetu na rough road
- Sio comfortable sana ukiwa barabara ambayo haijanyooka au yenye mashimo mashimo.
View attachment 3582308