Kwa Watanzania waishio Marekani

Kwa Watanzania waishio Marekani

acha mbwembwe dogo usidhani kutumia I'd fake hatukujui, unaishi hapa bongo na umepigika kama walivyo wabongo wengine. we tuliza tigo yako home tuache kwenye uchungu na mabadiliko tuandamane

Ilo jamaa linajiita nyani ni sengerema lizoefu
 
Kibali mange alishapata na alikiweka live kwenye page yake ya instagram maandamano tar 25 mi nitakuwepo pia Washington DC
Kibali Cha kuingia ardhi ya Tanzania ambayo ni ubalozi WA Tanzania? Ardhi yote ya ubalozi ni ardhi ya Tanzania hakuna mwenye mamlaka ya kutoa Kibali Kia mtu kuingia ardhi ya mtu mwingine zaidi ya mumiliki
 
Kwakweli walichotufanyia hawa jamaa waliopiga 1.5 trillioni Mungu anawaona,yaani sisi tunawatetea humu kwamba ni watetezi wa wanyonge kumbe wao ndio wanatufanya tuwe wanyonge zaidi!1.5 trillioni bajeti ya kwanza je tukisubiri miaka kumi?na hapo ndio mengine yamefunikwa mwanaharamu apite.

utaskia "tuwe wazarendo"shubaamit!
 
Hatakama hatutaandamana barabarani tutaandamana mioyoni. Rudisheni 1.5yetu tafadhali.
 
Kibali Cha kuingia ardhi ya Tanzania ambayo ni ubalozi WA Tanzania? Ardhi yote ya ubalozi ni ardhi ya Tanzania hakuna mwenye mamlaka ya kutoa Kibali Kia mtu kuingia ardhi ya mtu mwingine zaidi ya mumiliki

Nje ya ubalozi sio mali ya Tanzania
 
Naomba mlijue hili mapema, anayeandaa maandamano ni kichaa tena mwehu mwenye nguo. Ndo maana anajua tu kusema maandamano ila hata kuyaplan kakosea sana. Maana ajataja yanaanza saa ngapi, yanaanzia wapi katika kila mkoa, na yanaishia wapi. Pia maandamano hayana viongozi katika kila nchi, na kila mkoa. Ina short sio maandamano haya bali ni machafuko yaliyoandaliwa kuichafua nchi na kuleta machafuko nchini
 
Naomba mlijue hili mapema, anayeandaa maandamano ni kichaa tena mwehu mwenye nguo. Ndo maana anajua tu kusema maandamano ila hata kuyaplan kakosea sana. Maana ajataja yanaanza saa ngapi, yanaanzia wapi katika kila mkoa, na yanaishia wapi. Pia maandamano hayana viongozi katika kila nchi, na kila mkoa. Ina short sio maandamano haya bali ni machafuko yaliyoandaliwa kuichafua nchi na kuleta machafuko nchini
Hivyo watakaoanda mana nao ni vixhaa
 
Naomba mlijue hili mapema, anayeandaa maandamano ni kichaa tena mwehu mwenye nguo. Ndo maana anajua tu kusema maandamano ila hata kuyaplan kakosea sana. Maana ajataja yanaanza saa ngapi, yanaanzia wapi katika kila mkoa, na yanaishia wapi. Pia maandamano hayana viongozi katika kila nchi, na kila mkoa. Ina short sio maandamano haya bali ni machafuko yaliyoandaliwa kuichafua nchi na kuleta machafuko nchini
kichaa ni wewe uliyemjibu kichaa
 
View attachment 748503
Hii tarehe imenikumbushia sana hii filamu. Kazi ipo!
Because while the truncheon may be used in lieu of conversation, words will always retain their power. Words offer the means to meaning, and for those who will listen, the enunciation of truth. And the truth is, there is something terribly wrong with this country, isn't there? Cruelty and injustice, intolerance and oppression. And where once you had the freedom to object, to think and speak as you saw fit, you now have censors and systems of surveillance coercing your conformity and soliciting your submission. How did this happen? Who's to blame? Well certainly there are those more responsible than others, and they will be held accountable, but again truth be told, if you're looking for the guilty, you need only look into a mirror. I know why you did it. I know you were afraid. Who wouldn't be? War, terror, disease. There were a myriad of problems which conspired to corrupt your reason and rob you of your common sense.
 
Back
Top Bottom