Kwa Watanzania waishio Marekani

Kwa Watanzania waishio Marekani

Wanazingua hawa emu toa kapicha kuonesha uko state. Tunasubili kuwaona kwenye maandamano

396A15C0-1952-4215-8538-5E14FC805458.jpeg
 
Zimebaki siku 10 [kama sijakosea] mpaka kufika ile siku ya siku, yaani ile siku ya “maandamano” dhidi ya Rais Magufuli.

Maandamano ambayo kwa ufahamu wangu yamepangwa kufanyika kitaifa na kimataifa [kwa Watanzania waliopo Ughaibuni].

Nakumbuka ililetwa taarifa humu kwamba kutakuwepo pia na maandamano nje ya nchi ambayo Watanzania waishio huko watashiriki.

Moja ya hizo nchi za nje ni Marekani. Watanzania waliopo Marekani watajikusanya na kwenda kuandamana huko Washington D.C.

Sina uhakika yatafanyika katika sehemu zipi huko D.C. lakini nadhani moja ya sehemu ni mbele/ nje ya ubalozi wa Tanzania na labda mbele ya White House.

Sasa ningependa kujua kama hayo maandamano ya huko Marekani bado yapo.

Kama yapo, yapo siku gani hasa. Tarehe 25 au 26?

Yatafanyikia wapi hasa? Mtaa, kiunga/ viunga?

Muda gani? Mratibu wake ni nani?

Watu watakutania wapi? Na kadhalika.

Kwa ufupi ningependa kupata taarifa zaidi.

Yakiwepo nami nitaenda na bango langu.

Mzee Mwanakijiji Kiranga Bufa na wengineo wabeba boksi nyie mnazo taarifa zaidi za hayo maandamano?

USA baby
Hùyo Mange mhamasishaji anaeishi huko nae hajui mtaa,siku wala saa la kuandamana huko U.S.A kutwa kuhimiza tuliamshe huku bongo tuvunjike miguu lenyewe linachezea madushelele ya wazungu tu.
 
Zimebaki siku 10 [kama sijakosea] mpaka kufika ile siku ya siku, yaani ile siku ya “maandamano” dhidi ya Rais Magufuli.

Maandamano ambayo kwa ufahamu wangu yamepangwa kufanyika kitaifa na kimataifa [kwa Watanzania waliopo Ughaibuni].

Nakumbuka ililetwa taarifa humu kwamba kutakuwepo pia na maandamano nje ya nchi ambayo Watanzania waishio huko watashiriki.

Moja ya hizo nchi za nje ni Marekani. Watanzania waliopo Marekani watajikusanya na kwenda kuandamana huko Washington D.C.

Sina uhakika yatafanyika katika sehemu zipi huko D.C. lakini nadhani moja ya sehemu ni mbele/ nje ya ubalozi wa Tanzania na labda mbele ya White House.

Sasa ningependa kujua kama hayo maandamano ya huko Marekani bado yapo.

Kama yapo, yapo siku gani hasa. Tarehe 25 au 26?

Yatafanyikia wapi hasa? Mtaa, kiunga/ viunga?

Muda gani? Mratibu wake ni nani?

Watu watakutania wapi? Na kadhalika.

Kwa ufupi ningependa kupata taarifa zaidi.

Yakiwepo nami nitaenda na bango langu.

Mzee Mwanakijiji Kiranga Bufa na wengineo wabeba boksi nyie mnazo taarifa zaidi za hayo maandamano?

USA baby
acha mbwembwe dogo usidhani kutumia I'd fake hatukujui, unaishi hapa bongo na umepigika kama walivyo wabongo wengine. we tuliza tigo yako home tuache kwenye uchungu na mabadiliko tuandamane
 
acha mbwembwe dogo usidhani kutumia I'd fake hatukujui, unaishi hapa bongo na umepigika kama walivyo wabongo wengine. we tuliza tigo yako home tuache kwenye uchungu na mabadiliko tuandamane

Aisee
 
maandamano yetu yatarushwa na CNN, Al jazeera, Sky News, BBC, DW, France24 zote za kizungu na kiswazi.... so dunia itaelewa maana hizi ITV nk zimeshindwa kutoa habari sadifu hali harisi
 
Hata nyumbu pia huandamana kutoka Serengeti kwenda Masai Mara kila mwaka
 
Back
Top Bottom