tata mvoni
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 534
- 81
Habari wakuu kwa muda mrefu nimekuwa nikitumia simu yangu aina ya NOKIA 5130 ExpressMusic,ila hivi karibuni imeanza matatizo nikiingia net inazimika na kuwaka pia hata nikiwa nacheza game naweza cheza kwa dakika kama 2 hivi then ina-stuck then inazimika halafu inawaka yenyewe.Je,hapa tatizo ni nini? Pia kama kuna fundi mzuri humu jamvini ani-pm ili nimpelekee anitengenezee maana yaninyima raha ati!