Kwa wasomi tu: Msomi huyu namwonea wivu

Nakushukuru ndugu yangu, Mwalimu Tanzania kufurahia mafanikio yangu, nina imani unawivu wa maendeleo ndiyo maana unataka kushea mawazo na wanaJF. Mimi binafsi nakutakia kila la heri na karibu sana tujifunze pamoja maana elimu ni mawazo na mawazo ni watu na watu ni jamii!

Kweli mawazo ni watu na watu ni jamii. Asante kwa hilo
 
Editorial Reviews

About the Author

Bundala,N.Ntogwa (MBA-Finance), Studied at the Open University of Tanzania. Community Policing Officer- Mwanza Regional Police.Tanzania,United Republic Of




Customer Reviews

There are no customer reviews yet.
5 star
4 star
3 star
2 star
1 star
Share your thoughts with other customers
Write a customer review




Advertisement





Maana yake hakuna ata mtu alienunua hivyo vitabu vyako!.

$ 58 ni kubwa sana mkuu unaandika kuhusu uchumi wakati hujui hata Pricing Model!.

Unamzidi hadi Frank Woods?!.

Loo! Kumbe Open kuna product bora namna hii
 
Kuna kitabu kinaitwa "Determinants Of Sovereign Creditworthiness Of A Country: A Lending Guide For Both Developed and Developing Countries" is this a book title or a research topic?.

Umetuaibisha uko amazon.com

Fuatilia kwa umakini, usitoe hoja bila kuwa na uelewa wa kutosha, kwanza jiulize kimefikaje huko Amazon, halafu ni kitabu cha namna gani na kwanini kinauzwa bei hiyo! Kisha basi utoe maoni yako, nasisi tutayaheshimu
 
Back
Top Bottom