Kwa wasiofuga na kulima ndio uona maisha ni magumu

Kwa wasiofuga na kulima ndio uona maisha ni magumu

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,104
Reaction score
55,514
Maisha ni magumu kwa asiyelima na kufuga, anayetegemea apate shilingi mia ndio iwe unga, kitunguu, nyanya n.k

Kama una lima na kufuga, tayari unakuwa na uhakika wa chakula pamoja na hela za ziada; na hii itakuletea utulivu wa nafsi na kujiamini bila kumtegemea mtu.

Kwa wale wasiolima na kutegemea mishahara tu, ndio wanao ona maisha ni magumu.

Majungu, fitna, na chuki za hapa na pale, zinatokana na kutokulima pamoja na kufuga.

Je ni kweli ama si kweli?​
 
Umesema vyema hilo ni kweli kabisa

Huwa nawashangaa sana watumishi wajinga na wapumbavu wanaoona ufahari kufanya kazi kwenye majiji makubwa ambapo si rahisi kulima au kufuga

Kilimo na mifugo vinalipa sana na kupunguza gharama za maisha
 
Umesema vyema hilo ni kweli kabisa

Huwa nawashangaa sana watumishi wajinga na wapumbavu wanaoona ufahari kufanya kazi kwenye majiji makubwa ambapo si rahisi kulima au kufuga

Kilimo na mifugo vinalipa sana na kupunguza gharama za maisha
Leo ni mapumziko itakuwa wameomba ruhusa na kwenda kukutana sabasaba. 😂
 
Maisha ni magumu kwa asiyelima na kufuga, anayetegemea apate shilingi mia ndio iwe unga, kitunguu, nyanya n.k

Kama una lima na kufuga, tayari unakuwa na uhakika wa chakula pamoja na hela za ziada; na hii itakuletea utulivu wa nafsi na kujiamini bila kumtegemea mtu.

Kwa wale wasiolima na kutegemea mishahara tu, ndio wanao ona maisha ni magumu.

Majungu, fitna, na chuki za hapa na pale, zinatokana na kutokulima pamoja na kufuga.

Je ni kweli ama si kweli?​
Maisha hayapo hivyo, tunaishi kwa kutegemeana.

Wewe fuga wenzako watanunua

Tukiwa wote wafugaji na wakulima, nani atatengeneza na kuuza mbolea na vifaa vya kilimo na ufugaji?

Nani atanunua hiyo mifugo na mazao

Nani atakuwa daktari, mwalimu, mfanyabiashara, jeshi?

NB.
Kuna wakulima/wafugaji wapo vizuri pia Kuna wengine apeche alolo

Kuna watu si wakulima/wafugaji na wapo vizuri Kinoma, hali kadhalika wapo apeche alolo

Kila mtu aheshimu vipaumbele na kazi/mawazo ya mwenzake.

Kuna watu hawana interest wala fikra za kulima/kufuga ila wapo vizuri kwenye interest zao
 
Wana biashara gani za maana watumishi walio kwenye majiji makubwa?

Tusiongee kiushabiki tu ni wachache sana ambao wana biashara za maana
Mkuu, wanatikiwa kuacha ajira wakalime au wanatakiwa kulima kilimo cha simu au unawashauri nini? Tusisahau mkulima anamhitaji daktari, polisi, mhasibu n.k.
 
Maisha hayapo hivyo, tunaishi kwa kutegemeana.

Wewe fuga wenzako watanunua

Tukiwa wote wafugaji na wakulima, nani atatengeneza na kuuza mbolea na vifaa vya kilimo na ufugaji?

Nani atanunua hiyo mifugo na mazao

Nani atakuwa daktari, mwalimu, mfanyabiashara, jeshi?

NB.
Kuna wakulima/wafugaji wapo vizuri pia Kuna wengine apeche alolo

Kuna watu si wakulima/wafugaji na wapo vizuri Kinoma, hali kadhalika wapo apeche alolo

Kila mtu aheshimu vipaumbele na kazi/mawazo ya mwenzake.

Kuna watu hawana interest wala fikra za kulima/kufuga ila wapo vizuri kwenye interest zao
Watazame wastaafu
 
Wana biashara gani za maana watumishi walio kwenye majiji makubwa?

Tusiongee kiushabiki tu ni wachache sana ambao wana biashara za maana
Halafu mujue hao waliokuwa kwenye majiji makubwa, asilimia zaidi ya 80 wanatoka huko huko mnakolima.

Maisha ya vijijini tunayajua, wengi Wana hali ngumu kinoma.

Watu waliotoboa kwenye kilimo na mishe nyinginezo, watu wengi wametoboa kwenye mishe nyinginezo.

Acheni kutuona maboya kwamba hatukijui kilimo/hali za wakulima

Hao wakulima ndio wanaongoza kutupigia simu tuwatumie hela
 
Maisha ni magumu kwa asiyelima na kufuga, anayetegemea apate shilingi mia ndio iwe unga, kitunguu, nyanya n.k

Kama una lima na kufuga, tayari unakuwa na uhakika wa chakula pamoja na hela za ziada; na hii itakuletea utulivu wa nafsi na kujiamini bila kumtegemea mtu.

Kwa wale wasiolima na kutegemea mishahara tu, ndio wanao ona maisha ni magumu.

Majungu, fitna, na chuki za hapa na pale, zinatokana na kutokulima pamoja na kufuga.

Je ni kweli ama si kweli?​
Wabongo tumezoea shinda kiasi ambacho mtu asipohenyeka kupita kiasi anaona kama haishi. Unajua maana ya specialization? Haya maisha unayoyapigia debe sasa hivi wenzatu waliishi hivyo miaka 100 iliyopita. Kipindi hicho ndiyo watu walikuwa wana hustle kama kuku wa kienyeji au wanyama wa porini na walikuwa hawana choice. Sisi tumebahatika kuwa na kila kitu, na tunachokosa ni uongozi bora tu. Mtu anatakiwa akiwa ni daktari, basi awekeze nguvu yake kwenye anachofanya. Injinia hivyo hivyo. Kuna madhara makubwa kwa wataalam kujikuta kwenye hali ya kufukuzana na miradi ili ku-compliment maisha yao.
 
Watazame wastaafu
Shida yako unafananisha watu wachache waliofaninikiwa kwenye kilimo na watu wengi walio hali ya chini wasiolima.

Ukilinganisha walio na hali ngumu, wakulima na wasio wakulima basi wakulima ndio hali tete

Ukilinganisha walio vizuri wakulima na walio vizuri wasiolima basi wasiolima wapo kibao Sana.
 
Shida yako unafananisha watu wachache waliofaninikiwa kwenye kilimo na watu wengi walio hali ya chini wasiolima.

Ukilinganisha walio na hali ngumu, wakulima na wasio wakulima basi wakulima ndio hali tete

Ukilinganisha walio vizuri wakulima na walio vizuri wasiolima basi wasiolima wapo kibao Sana.
Tusipolima na kufuga, unategemea nani akufugie na kukuletea chakula?
 
Wabongo tumezoea shinda kiasi ambacho mtu asipohenyeka kupita kiasi anaona kama haishi. Unajua maana ya specialization? Haya maisha unayoyapigia debe sasa hivi wenzatu waliishi hivyo miaka 100 iliyopita. Kipindi hicho ndiyo watu walikuwa wana hustle kama kuku wa kienyeji au wanyama wa porini na walikuwa hawana choice. Sisi tumebahatika kuwa na kila kitu, na tunachokosa ni uongozi bora tu. Mtu anatakiwa akiwa ni daktari, basi awekeze nguvu yake kwenye anachofanya. Injinia hivyo hivyo. Kuna madhara makubwa kwa wataalam kujikuta kwenye hali ya kufukuzana na miradi ili ku-compliment maisha yao.
Mtu kasomea udaktari unamlazimisha akalime wakati anaweza kufungua hata duka la dawa akapiga pesa vizuri tu.

Miwili wa binadamu unatufundisha kuwa Kuna specialization kwani kila kiungo kinafanya kazi yake kwa kushirikiana na vingine
 
Wabongo tumezoea shinda kiasi ambacho mtu asipohenyeka kupita kiasi anaona kama haishi. Unajua maana ya specialization? Haya maisha unayoyapigia debe sasa hivi wenzatu waliishi hivyo miaka 100 iliyopita. Kipindi hicho ndiyo watu walikuwa wana hustle kama kuku wa kienyeji au wanyama wa porini na walikuwa hawana choice. Sisi tumebahatika kuwa na kila kitu, na tunachokosa ni uongozi bora tu. Mtu anatakiwa akiwa ni daktari, basi awekeze nguvu yake kwenye anachofanya. Injinia hivyo hivyo. Kuna madhara makubwa kwa wataalam kujikuta kwenye hali ya kufukuzana na miradi ili ku-compliment maisha yao.
Mfumo ndio umekuwa hivyo, na mwisho wa siku mtu anatakiwa ajipiganie yeye mwenyewe aweze kupata uhakika wa kula kile anachokiitaji maisha yake yote; huku nafsi ikiwa imetulia na kuridhika.
 
Watanzania wanaoongoza kwa umaskini ni wakulima kisha wanafuata wafugaji.

Kwa wastani, mlinzi wa mgambo wa jiji ana asilimia kubwa ya kuwa na uchumi mkubwa kumzidi mkulima. Au twende Matombo tuwaone hao wakulima wasio hata na kiberiti wanagongea moto kwa jirani mwalimu wa shule ya msingi?
 
Back
Top Bottom