Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,871
- 37,644
The Boss,ndio mana nimesema ukishindwa oa.lkn kudo bila ndoa noma kwa GOD.
Kwan kuoa ndo nn!ndo wanaongoza kwa kuto.mb..a nje,ss hapo amekwepa dhambi gani
The Boss,ndio mana nimesema ukishindwa oa.lkn kudo bila ndoa noma kwa GOD.
nlikua na mpango wa kukuPM mtoko ila ninapatwa wasiwasi...
Yarabi Toba!Kwan kuoa ndo nn!ndo wanaongoza kwa kuto.mb..a nje,ss hapo amekwepa dhambi gani
hii ya kulala popote hii!sijui namwonaje binti anayelala popote !!yani hata nikiwa msichana nilikuwa nachukia rafiki anyekuja kwangu au kwetu na kupiga stori weee kisha huyo anaoga na kupanda kitandani!well ni mimi lakini ndo naiona imekaaaje sijui!hayo mengine its ur time enjoy lakini hili la kulala popote usingizi utakapokukutia hili lol!😕1.Ukiwa single raha sana huwezi kufulia..!!
2.Unaweza kumput any1 under ur controll, with No Strings Attached!
3.Waweza kula bata utakavyotaka,ukalala popote.
Kwan kuoa ndo nn!ndo wanaongoza kwa kuto.mb..a nje,ss hapo amekwepa dhambi gani
Hiyo namba 7 si kweli. Ukiwa single kama ni mwanaume hakuna married man anakutaka karibu nae wala ummeet wife wake. Same for ladies, ukiwa single na kaumri kamesogea unaonekana mwizi mwizi tu hata ujiweke vipi,lol
Kunafaida 7 za kuishi bila mpenzi.
Nazo ni;....
(3)Hakuna sms wala call zisizo zalazima usiku wa manane.
Kunafaida 7 za kuishi bila mpenzi.
Nazo ni;....
(1)Unaweza kulala mda uutakao.
(2)Hujali unavyo onekana/kujishtukia.
(3)Hakuna sms wala call zisizo zalazima usiku wa manane.
(4)Unaweza kuongea na mtu yeyote kwa mda wowote.
(5)Utaishi maisha marefu bila ya kubughudhiwa.
(6)Utaepukana na fitina za watu.
na mwisho (7)Utaepukana na ugomvi usio wa lazima.
ushauli;lakini kama huwezi usizini oa kabisa utafanikiwa.
nawasilisha kwenu wana mkeka.
Kwan kuoa ndo nn!ndo wanaongoza kwa kuto.mb..a nje,ss hapo amekwepa dhambi gani
SIPO KABISAAAAA!!!!!!!!!!! Aku bibi weeee si wametaka wenyewe!!!!!!! Kwani niliwaombaaaaa? Wajing ndio Waliwao!!!!!!!!!! Na CHAKUOKOTA SI CHA KUIBA, MWENYE MALI NI MJINGA!!!!!!!!!! Si maneno yangu mimi bali WAHENGA wenyewe waliyasema!!!!!!!!
1.Ukiwa single raha sana huwezi kufulia..!!
2.Unaweza kumput any1 under ur controll, with No Strings Attached!
3.Waweza kula bata utakavyotaka,ukalala popote.
Kunafaida 7 za kuishi bila mpenzi.
Nazo ni;....
(1)Unaweza kulala mda uutakao.
(2)Hujali unavyo onekana/kujishtukia.
(3)Hakuna sms wala call zisizo zalazima usiku wa manane.
(4)Unaweza kuongea na mtu yeyote kwa mda wowote.
(5)Utaishi maisha marefu bila ya kubughudhiwa.
(6)Utaepukana na fitina za watu.
na mwisho (7)Utaepukana na ugomvi usio wa lazima.
ushauli;lakini kama huwezi usizini oa kabisa utafanikiwa.
nawasilisha kwenu wana mkeka.
Hahahaaaaaaaa! Umetumwa na PASTOR nini uje utoe ushuhuda wa kututishia MA SENIOR BACHELOR!!!!!!!!!!!!! Ushuhuda wako watishaaa kweli kweli ila HAUTISHI KAMA KUWA SINGLE BAADA YA DIVORCE!!!!!!!!!!!!! Wengine hatuolewi kwa kuchagua sana kuogopa kurudi in a similar position ila in different status!!
Mkuu mjanja wewe, nakujibu maswali yako kwa a be che kama ifuatavyo dear: HUNIJUI SIKUJUI NA WENZANGU HUWAJUI...HOW CAN YOU-SEMA NAWADANGANYA WENZANGU???!!! INAELEKEA UNATEGEMEA SANA KUPEWA ELA NA MWANAUME...WELL WENGINE KUPEWA NI EXTRAS TU..MWANAMKE KUJIAMININI NA KUWEZA KWANZA,ATAKAE KUPA UNAPOKEA...KUOMBA USIZOEE!! HUO UMRI WA STARA UKIFIKA UNAJISITIRI TUU MBONA,NA USIDANGANYIKE ETI UKIWA DOUBLED NDO UNASTARA..KUNA MIZEE NA MIJIMAMA MJINI MBONA MULE MULE TUU!! MTOTO KUPATA NI MIPANGO NA MAJAALIWA YA MWENYEZI MUNGU NA OFCOZ SIYO KUISHI SIMGLE MILELE BUUT UNAJIBREKISHA UDABONI NA KUWA SELFISH KIDOGO 4UR OWN HAPPINESS. KUMALIZIA HII NA KADHALIKA YAKO NASHINDWA COZ UNAONEKANA UMENISOMA KIVINGINE VINGINE...WITH IMPERSONAL ISHUUUUUZ!!Usiwadanganye wenzako wakafa na njaa bure, HUYO MWANAUME WA KUKUPA HIYO PESA YA KUTOSHA MATUMIZI YAKO HAYUPO. INAVYOONEKANA WEWE UNA UWEZO HAPA UNATAKA KUONGEZA TU. KAMA WALIVYOSEMA WAKUBWA AMBAO YAMEWAKUTA KUNA UMRI UNAHITAJI STARA, HUWEZI KUKAA PEKE YAKO, PIA MTOTO ANA RAHA YAKE NA WANASEMA MPAKA UMPATE MTOTO NDIO UTAJUA ULICHOKUA UNAKIKOSA. SASA JE KWANINI UZAE NJE YA NDOA. ANGALIA SANA MAISHA HAYAKO KIHIVYO MAISHA NI KUMTII MWENYE KUKULETA HAPA DUNIANI.
Kunafaida 7 za kuishi bila mpenzi.
Nazo ni;....
(1)Unaweza kulala mda uutakao.
(2)Hujali unavyo onekana/kujishtukia.
(3)Hakuna sms wala call zisizo zalazima usiku wa manane.
(4)Unaweza kuongea na mtu yeyote kwa mda wowote.
(5)Utaishi maisha marefu bila ya kubughudhiwa.
(6)Utaepukana na fitina za watu.
na mwisho (7)Utaepukana na ugomvi usio wa lazima.
ushauli;lakini kama huwezi usizini oa kabisa utafanikiwa.
nawasilisha kwenu wana mkeka.
Kunafaida 7 za kuishi bila mpenzi.
Nazo ni;....
(1)Unaweza kulala mda uutakao.
(2)Hujali unavyo onekana/kujishtukia.
(3)Hakuna sms wala call zisizo zalazima usiku wa manane.
(4)Unaweza kuongea na mtu yeyote kwa mda wowote.
(5)Utaishi maisha marefu bila ya kubughudhiwa.
(6)Utaepukana na fitina za watu.
na mwisho (7)Utaepukana na ugomvi usio wa lazima.
ushauli;lakini kama huwezi usizini oa kabisa utafanikiwa.
nawasilisha kwenu wana mkeka.