Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,115
Wengine ofisini hakuna mseleleko halafu mimi bado natumia mb 300 ttcl bado inanishindaHizo ndo nzuri weekdays asubuh unajiandaa kwenda kusaka noti zenyewe zinajivuta taratiiibuu,unafika ofisini unaunganisha na mseleleko wa hapo huku unachapa kazi