M Z A N Z I B A R I
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 21,696
- 117,127
sielewi ni sababu ipi inayowafanya wengine muzichukie hizi going on drama, kiupande wangu navutiwa zaidi na drama zinazoendelea kuliko zilizokamilika kwa sababu zinanipunguzia mzigo wa kupoteza muda mwingi wa kuangalia drama.Kuna ulevi mwingine mbaya sana. Kuna viapo sio vya kuapa kisha ukavivunja vinatesa sana
Saiv nateswa na ongoing tatu
At eighteen
Doctor detective
Rookie historian
taarifa zao niliwahi kuzisoma mara chache then nikawa nazipotezea hivyo basi sifahamu kiundani kinachopelekea waendelee kurushiana madongo ya kitoto hadharani.
kupitia account yake ya instagram leo amepost tena, hahahahahahaaaa hatari sana
- wote wawili wanasimamiwa kazi zao na kampuni moja, kinachoonekana either kampuni inampendelea zaidi mwanamme kwenye huu mgogoro ndio maana bidada anaamua kutumia social media kwa ajili ya kuweka wazi maovu yote yanayofanywa na mwenza wake.
- au inawezekana bidada anatumia zaidi social media ili kutafuta huruma kwenye huu mgogoro kupitia kwa wadau mbali mbali.
Ku Hye Sun Shares List Of Rules She Asked Ahn Jae Hyun To Follow During Their Marriage
On September 3, around 8 p.m. KST, Ku Hye Sun shared two photos on Instagram. Later, she added the caption, “Become a human,” which she then changed to, “All I really want is an apology.”
The first photo contains two pieces of paper, one titled “Things that Ahn Jae Hyun should be careful not to do (until March)” and one titled “Things Ku Hye Sun should be careful not to do.”
The list of rules for Ahn Jae Hyun reads:
The list with Ku Hye Sun’s name contains only the word, “Nothing.” The second photo in the Instagram post shows Ku Hye Sun and Ahn Jae Hyun’s signatures on the back of the paper, suggesting that both of them agreed to this list of rules.
- If drinking outside, drink only until 11 p.m.
- Don’t drink to the point of losing consciousness (be moderate).
- Don’t be stubborn.
- Don’t cause harm to others.
- Put away your clothes when you take them off.
- Clean up your food and dishes after eating (don’t pile them in the sink).
- Put laundry in the laundry room.
- Even if you’re feeling good because you’re drunk, don’t yell or slap or use other forms of violence.
- Come home by midnight (apart from filming).
- Clean up after the cat once every seven days.
- Be careful what you say (especially what you say about others).
- Put away your shoes.
teh teh teh unataka kupigwa na baba rules?daah hizo rules kiboko, ngoja nizikopi nikaziapply
Nimeipenda Sana hi namalizia ep ya 16 Leo...nitaimissHotel Del Luna' denies the existence of a second season
The drama ended with its 16th episode on September 1st. It was the most-watched tvN drama so far this year with a 12% rating among cable channels on during the last episode.
View attachment 1196596
At the end of the drama during the epilogue, a new hotel called 'Hotel Blue Moon' appeared, and a special appearance was made by actor Kim Soo Hyun as the new owner of the hotel. He said,
"The moon has risen. Let's open up the business."
From there, many had guessed that 'Hotel Blue Moon' would become the season 2 of 'Hotel Del Luna' and Kim Soo Hyun would be the main character.
To this, a source from tvN said,
“We haven’t discussed anything about a second season yet,” and continued, “It’s difficult for us to give an answer on whether there will be a second season or not because the staff hasn’t ever discussed the possibility of a second season.” They concluded with, “We believe this is an expression of our viewers’ love and support for the drama so we are grateful for it.”
View attachment 1196595
teh teh teh unataka kupigwa na baba rules?
kulewa mwisho chupa ngapi?
akimaliza kula aoshe vyombo
teh teh teh
sielewi ni sababu ipi inayowafanya wengine muzichukie hizi going on drama, kiupande wangu navutiwa zaidi na drama zinazoendelea kuliko zilizokamilika kwa sababu zinanipunguzia mzigo wa kupoteza muda mwingi wa kuangalia drama.
jana tu ndio nimeangalia final episode ya hotel del luna,
inshaalllah sitoangalia tena drama mpaka ijumaa pindi zitakapotoka episode zote mbili za when the devil calls your name drama.
baadae nasubiri tena jumapili nipate kuangalia episode mbili za mwisho za doctor john drama pamoja na episode ya 13 ya arthdal drama.
kwa ufupi kwa wiki moja naweza kuangalia episode 8 tu za drama nne tofauti.
ndani ya mwaka huu nimepata drama takribani 10 zilizokuwa zipo completed lakini zimenishinda kuzingalia sababu kubwa naziona kama zimeshachuja kiubora.
- beautiful mind = jang hyuk
- hyde jekill and me = hyun bin
- kill me heal me drama = ji sung.
- protect the boss = ji sung
- gentleman dignity drama = jang dong gun
- woman of dignity drama = kim hee sun and kim sun a.
- the good witch drama = lee da hae, ryu soo young.
- n.k
ukija kwenye hizi compeleted drama kwa mfano katikati ya mwezi uliopita nilirejea kiporo changu kinachoitwa age of warriors drama kwa sababu nilikuwa sina mission muhimu za kufanya basi ilikuwa kila nikiangalia ule mzuka wa kutaka kufahamu kinachojiri mbeleni ndio unazidi, hatimaye nikajikuta ndani ya siku mbili nimezidownload na kuziangalia episode takribani 30.
taarifa zao niliwahi kuzisoma mara chache then nikawa nazipotezea hivyo basi sifahamu kiundani kinachopelekea waendelee kurushiana madongo ya kitoto hadharani.
kupitia account yake ya instagram leo amepost tena, hahahahahahaaaa hatari sana
- wote wawili wanasimamiwa kazi zao na kampuni moja, kinachoonekana either kampuni inampendelea zaidi mwanamme kwenye huu mgogoro ndio maana bidada anaamua kutumia social media kwa ajili ya kuweka wazi maovu yote yanayofanywa na mwenza wake.
- au inawezekana bidada anatumia zaidi social media ili kutafuta huruma kwenye huu mgogoro kupitia kwa wadau mbali mbali.
Ku Hye Sun Shares List Of Rules She Asked Ahn Jae Hyun To Follow During Their Marriage
On September 3, around 8 p.m. KST, Ku Hye Sun shared two photos on Instagram. Later, she added the caption, “Become a human,” which she then changed to, “All I really want is an apology.”
The first photo contains two pieces of paper, one titled “Things that Ahn Jae Hyun should be careful not to do (until March)” and one titled “Things Ku Hye Sun should be careful not to do.”
The list of rules for Ahn Jae Hyun reads:
The list with Ku Hye Sun’s name contains only the word, “Nothing.” The second photo in the Instagram post shows Ku Hye Sun and Ahn Jae Hyun’s signatures on the back of the paper, suggesting that both of them agreed to this list of rules.
- If drinking outside, drink only until 11 p.m.
- Don’t drink to the point of losing consciousness (be moderate).
- Don’t be stubborn.
- Don’t cause harm to others.
- Put away your clothes when you take them off.
- Clean up your food and dishes after eating (don’t pile them in the sink).
- Put laundry in the laundry room.
- Even if you’re feeling good because you’re drunk, don’t yell or slap or use other forms of violence.
- Come home by midnight (apart from filming).
- Clean up after the cat once every seven days.
- Be careful what you say (especially what you say about others).
- Put away your shoes.
akizivua nguo chafu akaziweke kwenye chumba cha kufulia nguo.hiyo ya kuosha vyombo ndio nimeipenda zaidi
akivua nguo aziweke sehemu husika na si kuzitupa sehemu yoyote kama mtoto kwa kumtegemea mke ataziokota.hiyo ya kuosha vyombo ndio nimeipenda zaidi
sijaiangaliaUmewahi kuiona series ya the empress ki?
Itafute utaipenda Sana Ina episode 51 Ina matukio mengi yenye kuvutia na yenye kugusa maisha yetu.Hii series imenifanya nilie hasa episode za kukaribia mwisho zinauzunisha km una moyo ndogo unaweza kulia.sijaiangalia
Numbisa vp umeitafuta series niliyokuambia ya the empress ki?Kwa list hio mwanamke ana matatizo makubwa khaa sio kwa uboss huo.
kwa mara nyengine tena ahsante sana brother kwa hii recommendation.Itafute utaipenda Sana Ina episode 51 Ina matukio mengi yenye kuvutia na yenye kugusa maisha yetu.Hii series imenifanya nilie hasa episode za kukaribia mwisho zinauzunisha km una moyo ndogo unaweza kulia.
Kwanini umkubali ha ji won? kiukwel kwangu huyu dada namkubali ile mbaya kuliko hata waigizaji wengine ila kwa ji Chang wook hata me simpendikwa mara nyengine tena ahsante sana brother kwa hii recommendation.
ila usisahau wakorea wana project nyingi sana hivyo basi sidhani kama itawezekana kuziangalia zote kwa mkupuo.
pia inawezekana project unayoiona wewe ni nzuri pengine kwangu mimi nisivutiwe nayo.
empress ki niliwahi kuiangalia hadi episode 15 nikaiweka kiporo miaka mitatu iliopita,
binafsi si mshabiki mkubwa sana wa mwanadada ha ji won pamoja na ji chang wook ndio maana nilikosa mzuka wa kuiendeleza empress ki drama.
chuki za kijinga na roho mbaya za kisouth africa ndio sababu kubwa ya kutokuvutiwa nayeKwanini umkubali ha ji won? kiukwel kwangu huyu dada namkubali ile mbaya kuliko hata waigizaji wengine ila kwa ji Chang wook hata me simpendi
Hakuna series niliyoangalia ya huyo dada tofauti na the empress ki ndio imenifanya nimepende kutokana na alivyovaa uhusika vizuri.chuki za kijinga na roho mbaya za kiswahili ndio sababu kubwa ya kutokuvutiwa naye
teh teh teh.
wewe umeangalia project ngapi zinazomuhusu bidada?
labda tuanzie hapo
naomba niulize swali jengine.Hakuna series niliyoangalia ya huyo dada tofauti na the empress ki ndio imenifanya nimepende kutokana na alivyovaa uhusika vizuri.
wewe mjinga au mwerevu kutoka pyongyang,
mpaka lini utaupima ubora wa filamu au drama kwa kuangalia kigezo cha martial arts?
nyinyi ndio wale munaosema choi soo jong ni muigizaji bora kuliko song il kook in terms of historical drama kwa kutumia kigezo cha mapigano.
teh teh teh sina dhamira ya kuanzisha vita.
Numbisa vp umeitafuta series niliyokuambia ya the empress ki?