Hii Drama ni fireShikamoo MBC,kumbe nimetazama drama zenu nyingi bila kujua.
Moja kati ya Drama ambayo huwa sichoki kuirudiarudia ni hii hapa( Kim Suro)
Inamuelezea Kim Suro ambaye ni mwanzilishi wa Taifa la Gaya.
Pia huyu ndiye Mwanzilishi wa ukoo wa "KIM"View attachment 1080141
Huwezi amini kuwa nimepata hamu ghafla ya kuitazama tena! Ila bahati nzuri ninayo Nyumbani katika DVDHii Drama ni fire
acronym hii ina maana gani
acronym hii ina maana gani
nikianza kutumia kwenye maandishi yangu sitopimwa oili chafu na vijana wa mjini?
🙌🙌🙌yaani we mtu unajua kunichekesha lol kupimwa oil chafu tena. Hiyo ni 'by the way'
nimesikia wenye mji wao wameshaandaa hotuba za kumpongeza bosi wako kwa mafanikio yake ya kuleta kimbunga.
btw hivi lee min ho umeshaachana naye?
ubongo wangu umekuwa hauna tofauti na ubongo wa kuku, ukimkataza sekunde moja asile mtama anarudi tena pale pale.waache wampongeze ni wakati wake. Min Ho sijamuacha nashangaa unaleta habari yake hata hujantag sunbae hii tabia umeanza lini?
Acha kuniharibia CV sunbae, wachumba niao wengi wako wapi?ubongo wangu umekuwa hauna tofauti na ubongo wa kuku, ukimkataza sekunde moja asile mtama anarudi tena pale pale.
wachumba zako wengine nimeshaanza kuwasahau, na wewe una vijana dume uchwara vingi kuliko degree za mugabe
kwenye TV unamiliki watatuAcha kuniharibia CV sunbae, wachumba niao wengi wako wapi?
Mi Namsubiri Chang Wook Wangu Tuh Kwa Hamu Hasa!Lee Min Ho Shares His Gratitude After Discharge From Military Service
On April 25, Lee Min Ho finished his mandatory military service with his last day as a public service worker at the Suseo Social Welfare Center. When he went to work in the morning, many fans were waiting for him there with signs and balloons to welcome him on his final day. Later on, Lee Min Ho was discharged from the military quietly without any special events.
On the evening that day, Lee Min Ho took to Instagram with a photo of many bouquets of flowers, along with his dog. The flowers appear to be from fans, with messages on cards that say they have waited for him and congratulate him on his discharge.
He wrote in the caption, “Thank you.”
View attachment 1080923
Mi Simoo...Sijasema Unataka Niuzia Kesi Eeeh!?kwenye TV unamiliki watatu
mtaani unamiliki watatu
JF unamiliki watatu
ofisini unamiliki watatu
sokoni unamiliki watatu
ibadani unamiliki watatu
unapoenda kuchota maji unamiliki watatu
takwimu hizi ni kwa mujibu wa aminas
sihusiki na takwimu hizi za IMF
na log out muda huu
replay yako nitakuja kuisoma baadae, nahofia itakusanya upepo wa kimbunga muda huu.
utajuana na mwenye mbuzi, mimi nimeamua kuweka ulinzi kabla ya jua halijazamaMi Simoo...Sijasema Unataka Niuzia Kesi Eeeh!?
Ila Ukweli Anao Wengi Mi Siku Hizi Nimeacha Tu Kumuhesabia Na Kugombania!
Unaeza Jikuta Uko Bara Bila Kuelewa!utajuana na mwenye mbuzi, mimi nimeamua kuweka ulinzi kabla ya jua halijazama
jumamosi anarudi inshaallah (27/04/2019)Mi Namsubiri Chang Wook Wangu Tuh Kwa Hamu Hasa!
Shalobalo Karudi Mjini Wadada Sasa Apo!
why?Unaeza Jikuta Uko Bara Bila Kuelewa!
Nb. MUN Haina Wachezaji!?utajuana na mwenye mbuzi, mimi nimeamua kuweka ulinzi kabla ya jua halijazama
naomba ufute neno dhaifu tafadhali. tumia neno mafala yaliokubuhuNb. MUN Haina Wachezaji!?
Nina Muda Sijaangalia Mech Ya Mun Mwanzo Mwisho Jana Ndo Nimeangalia Ni Ovyo Ovyo Wachezaji Ni Dhaifu Hasa..
Ningejua Ningeomba Lift Kwa Nassib Nikaenda Mshuhudia.jumamosi anarudi inshaallah (27/04/2019)
Kwa Huu Uchokozi Wako!why?