da mi limenishinda kuwasha ndege tizi tutorials naona kama sizielewi naana niliwasha engene lakini sikujua hata kuliondoa lilipo simama
unatumia ndege gani? jaribu kutumia cessina citation x au hata b0eing 777 200ER ziko stable sana hizi kwa kuanzia..nimefanikiwa kuirusha lakini haifiki mbali inaanguka
unatumia ndege gani? jaribu kutumia cessina citation x au hata b0eing 777 200ER ziko stable sana hizi kwa kuanzia..
nimefanikiwa kuirusha lakini haifiki mbali inaanguka
mkuu, kuweka sawa na runway kidogo ni ishu na ndo maana mi mwenyewe napenda kutumia sana manual kwenye kutua kuliko auto sababu auto kuna settings flani hivi ambazo ndo zinakuweka katikati ya runway but ni unreliable sana sometime zinakutoa nje kabisa na ku crash..ila kwa manual ukisha iona runway tu unaanza ku descend mwenyewe tartatibu huku unaiweka kati mpaka unatua..Ndugu mi kuirusha sina tatizo, na huwa si set chochote, natoa parking breaks, napandisha throttle kitu kinaenda juu... Japo kiwa inanitesa kuieka katikati ya runway. Sasa mi nimeweka scenery ya Tz, nikajaribu kuset route manager na kuweka autopilot, sasa kila nkiweka autopilot baada ya sekunde chache indisconnect ina sema check pitch trim, ata sielewi, nikiweka sawa Nose, nikibofya tena autopilot inakaa kdigo kisha inaleta tena error iyo. Halafu kitu chengine mi kimenishangaza, mi napenda nifanye pressing of buttons katika dash ya ndege kuliko kutumia keyboard. Sasa kwa kutumia dash, ukipress button basi hatari, huwezi tena irudisha katika position ya mwanzo. Nikapandisha pitch trim, kushuka haikubali ndo ishafika, sasa sijui tatizo nini!!
mkuu, kuweka sawa na runway kidogo ni ishu na ndo maana mi mwenyewe napenda kutumia sana manual kwenye kutua kuliko auto sababu auto kuna settings flani hivi ambazo ndo zinakuweka katikati ya runway but ni unreliable sana sometime zinakutoa nje kabisa na ku crash..ila kwa manual ukisha iona runway tu unaanza ku descend mwenyewe tartatibu huku unaiweka kati mpaka unatua..
kuhusu kudisconect autopilot ni kwamba lazima kuna error sehem..either flaps ({au}) haziendani na speed uliyonayo au trim ipo chini sana au juu sana au hujapandisha tairi au umebinuka sana kelekea juu/chini...hapo lazima AP ijidisconnect...mi pia mwanzo ilinitesa sana..ila jitahidi kucheza na flaps kwanza iweke ndege stable itulie then hakikisha hamna alarm yoyote ndo uweke Auto..ikiwa kuna alarm yoyote AP haitakubali! ukiona kna alarm jaribu kupandisha flaps au kushusha au kuzitoa kabisa yenyewe itakata..then tia AP ndege itafuata..
kuhusu kurudi nyuma inapochange settings kwnye dashboard tumia middle button(ile ya scroll) kwenye mouse unaibonyeza na si ku scroll ndo unaweza kurudisha settings..kuna baadhi ya settings kama IAS unaweza kutumia ku scroll na kuchange settings utakavyo..
View attachment 93831View attachment 93832View attachment 93833View attachment 93834View attachment 93836View attachment 93837View attachment 93840View attachment 93841
Hapo ni J.K.Nyerere kutua..
'Sceneries kibao'... Vipi ya viwanja vya East Africa zimo?
Asanteni sana sijui nini na Tulizo. Nimepata hamu upya baada ya kunijibu maswali yangu. Nilikuwa nishachoka kuruka na kutua katika viwanja vya majuu kama San Francisco nk.
Na-upgrade rams zangu soon, narudi ktk game langu.
Mimi napenda Missions sana kama kuna mtu anazo tunaweza anisaidie
unatumia ndege gani? jaribu kutumia cessina citation x au hata b0eing 777 200ER ziko stable sana hizi kwa kuanzia..
Dah mmenipaje hamu ngoja niweke fifa 13 pending!!linahtaji comp lenye specs gani???
Inategemea na level of realism ambayo unataka. Kama unapenda ku-fly katika next level ya virtual aviation ukitumia complex systems na addons + live Air Traffic Controllers kama VATSIM au IVAO then hauna budi ku-fly ukitumia sceneries za Europe au USA kwani kutokana na matatizo yetu huku Africa hakuna watu wengi katika hiyo hobby... unaweza kujikuta peke yako muda wote...
Asanteni sana sijui nini na Tulizo. Nimepata hamu upya baada ya kunijibu maswali yangu. Nilikuwa nishachoka kuruka na kutua katika viwanja vya majuu kama San Francisco nk.
Na-upgrade rams zangu soon, narudi ktk game langu.
vipo vingi tu vya kibongo..dar, kia, arusha, iringa , dom, mwanza na vinginevyo maana ukiwa online na ukiset terrasync on wakati wakufungua game yenyewe inakuwa inadownload automatic taswira ya eneo husika wakati wewe unaendelea ku fly eneo hilo..HKJK - Jomo Kenyatta International Airport..
asante sana sijui nini maana sasa imeruka na hakuna aram yoyote japo mwanzo zilinitesa sana sasa map imenishinda na kuhusu kutua inakuwaje maana nimepaishaa mpaka nikachoka nikaamua ku escape
Dah mmenipaje hamu ngoja niweke fifa 13 pending!!linahtaji comp lenye specs gani???
mkuu ukipata external mouse ndo itakuwa rahisi sana ndugu yangu maana unaweza ku zoom na ku set vitu kwa dashboard upendevyo..Sasa ndugu icho ki middle button cha mouse mi cna mana natumia laptop, sasa sijui itakuaje! Yani ungekuwa upo pande za dar ningekutafuta ukanipa lecture kidogo
Kaka tuko pamoja mi namalizia IGI 2 ila kama utataka mi mission Call of duty modern warfare, Far cry na Hitman zote...
Hizo simulation nazipenda ila napenda trucks simulation ndo naiweza sana.