Kwa wapenzi wa Flight Simulation Games (Flight Gear)

Kwa wapenzi wa Flight Simulation Games (Flight Gear)

sijui nini

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2010
Posts
2,553
Reaction score
1,292
Habarini..

Kama ilivyo ada, watu wanapendelea games mbalimbali..wengine soka, wengine magari, wengine pikipiki wengine missions.. sijui kwa wale wa hizi flight games... mimi ni mpenzi sana wa flight simulator games haswa flightgear..

Na ningepende kujua kama kuna wengine waliopo huko ili angalau tuwe pamoja na kuweza kubadilishana ujuzi maana hii kitu tatizo lake si kama soka au magari..so many battons and so carefully with anything you touch la sivyo unacrash..

So nakaribisha wadau kama wapo tupeane maujuzi kidogo juu ya game hili...
 
sijui nini

Umenigusa ndipo kabisa, kwa kweli mimi mwenyewe napenda hii game, ila tatizo sijaicheza lomgtime. Ningependa mtu mwenye CD yake aniazime japo nitoe copy mana kuidownload kwa internet hizi zetu ni kikwazo.
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa natumia microsoft Flight Simulator na nilikuwa pilot mzuri sana. Siku nyingi sijarusha tena ndege kwenye keyboard, ngoja ni download nione hiyo Flight Gear.
 
Umenigusa ndipo kabisa, kwa kweli mimi mwenyewe napenda hii game, ila tatizo sijaicheza lomgtime. Ningependa mtu mwenye CD yake aniazime japo nitoe copy mana kuidownload kwa internet hizi zetu ni kikwazo.
dah ningekuwa na cd ningekupatia mdau ila kwa sasa ninayo tu setup yake kwenye pc ni nipi iringa huku labda tungekuwa karibu hata ningukunyonyea...ila flightgear sasa wametoa version 2.10 ndo latest ni kama 700mb hivi mi nimeishusha juzijuzi tu na ni nzuri sana..hapa nipo multiplayer ila imenilazimu niende kwenye airports za watu huko nje ili nikutane angalau na wachezaji wengine maana hapa HTDA unajikuta upo mwenyewe tu..so ndo maana nikaona nilete humu ili kama mpo humu siku tukutane KIA pale...hahaha..

Nilikuwa natumia microsoft Flight Simulator na nilikuwa pilot mzuri sana. Siku nyingi sijarusha tena ndege kwenye keyboard, ngoja ni download nione hiyo Flight Gear.
ebanaee ipo poa sana hii..latest ni 2.10 itafute mkuu..
 
Dah itabidi nifanye mchakato wa kuipata nii download kidogo kidogo mana hizi internet zetu ni expensive kweli kisha slow, mara unafika 99.9% unaambiwa connection error uanze tena upyaaa na ma Mb ushayapoteza
 
kuna direct link ya the latest microsoft flight stmulator iko kwenye uz wa Paje sema ni 8GB ndo niko naishusha now
 
kuna direct link ya the latest microsoft flight stmulator iko kwenye uz wa Paje sema ni 8GB ndo niko naishusha now
flightgear in kama 700mb tu na imetulia sana...very realistic mkuu..
 
wakuu napendaga sana kucheza games sana sana za missions lakini juzi kati kuna mtu aliniletea EURO TRUCK SIMULATOR kiukweli nimelipenda sana mimi nilikuwa nauliza hilo Flight simulator linachezwaje maana ninalo ila sijui kulicheza
 
wakuu napendaga sana kucheza games sana sana za missions lakini juzi kati kuna mtu aliniletea EURO TRUCK SIMULATOR kiukweli nimelipenda sana mimi nilikuwa nauliza hilo Flight simulator linachezwaje maana ninalo ila sijui kulicheza
we jaribu kuinstall kisha ujaribu...ni zuri tu mkuu..you just choose plane to fly with..big or small..then you are the captain..from taking off to landing..utamu unakuja kwenye kuicontroll kukamilisha safari yako..user manual ya controls zake zipo humo humo...na hadi tutorials zake..
 
KUna anyehitaji NEED FOR SPEED II??:mvutaji:
 
sijui nini

Mkuu mimi inaniletea error inaniambia unknown exception.in main looppossible cause no enough memory
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mimi inaniletea error inaniambia unknown exception.in main looppossible cause no enough memory
wakati wa kuinstall au wakati wa kucheza? na pc yako in spec. gani...!!??
 
Baada ya kufanya mazoezi sana nilifanikiwa kurusha na kutua salama ndege ndogo na kubwa. Lakini nimeshindwa kurusha helicopter licha ya kusoma manual kwa kina.

Kuna ye yote aliyefanikiwa kurusha helicopter kwa kutumia keyboard tu?
 
Mambo ya kurusha juu chini kama Denzel katika "Flight"

cc afrodenzi
 
Last edited by a moderator:
wakuu napendaga sana kucheza games sana sana za missions lakini juzi kati kuna mtu aliniletea EURO TRUCK SIMULATOR kiukweli nimelipenda sana mimi nilikuwa nauliza hilo Flight simulator linachezwaje maana ninalo ila sijui kulicheza

Mkuu setup file yake unalo? Na kama unalo then uko dar nikutafute pande zipi ili niweze kuipata iyo file?
 
Back
Top Bottom