Kwa wanawake wote wa JF wapya na vikongwe

Kwa wanawake wote wa JF wapya na vikongwe

Huyu jamaa ana matatizo katika matumizi ya herufi 'R' na 'L'
 
Ukitaka kukutana na wanawake tafuta wanapopiga shoo ya muziki wa taarabu, hapo wako wengi tu utakutana nao , sio hapa JF
 
Aaah wajameni kwani katenda dhambi??
Ni mawazo yake tu!
Ila simpatii picha kama anavyoandika ndio anavyongea...
 
Muacheni jamaa, mtaani mabinti wazuri lakini kilicho katikati ya masikio vigumu kujua. Michango ya madadaz wa JF inanesha kabisa nani wife material na ambae chaka. Nyie msubirini tu! mtaona Jamii photo jamaa katokea na first lady ndani ya shera. Balaa
 
Kuna wakwasi wana ukame hapa, ukware utasema wametoka ku serve hard time.
 
Back
Top Bottom