Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,913
- 133,926
Mwaka 2014, rapa Gucci Mane alimkabidhi mpenzi wake, Keyshia Ka’oir, dola milioni 2 ambazo ni sawa na (Tsh. Bilioni 5) za mwisho kabla ya kuelekea gerezani.
Badala ya kutumia fedha hizo, Keyshia alizigeuza kuwa mtaji, akizalisha biashara na uwekezaji uliomrudishia dola milioni 6 ambazo ni sawa na ( Tsh. Bilioni 15)
Miaka kadhaa baadaye Gucci alipoachiwa huru, alikuta kila kitu kikiwa kimeongezeka, na Keyshia akamrudishia kiasi cha pesa alichompatia.
Kwa sasa wawili hao ni Wanandoa na wanaendelea kujenga utajiri kwa pamoja.
My Take
Kwa wanawake wa Bongo hiki kitu hakiwezekani
Badala ya kutumia fedha hizo, Keyshia alizigeuza kuwa mtaji, akizalisha biashara na uwekezaji uliomrudishia dola milioni 6 ambazo ni sawa na ( Tsh. Bilioni 15)
Miaka kadhaa baadaye Gucci alipoachiwa huru, alikuta kila kitu kikiwa kimeongezeka, na Keyshia akamrudishia kiasi cha pesa alichompatia.
Kwa sasa wawili hao ni Wanandoa na wanaendelea kujenga utajiri kwa pamoja.
My Take
Kwa wanawake wa Bongo hiki kitu hakiwezekani