Kwa wanawake tu

Kwa wanawake tu

Tena hao watoa bikira wanaboa kweli. Ukiitazama unakuta ni mijanaume mburula tu. Wangu sitakagi hata salamu na alishanawa mikono mxxxy
umeona eeh! mi sitaki kumuona wala kumsikia
 
Ha ha ha. Tobaaaaaa! Sasa pata picha mwenyewe aliko huko anajitapa kuwa alimtoa binti bikra kumbe mhusika wala habari hana!!!

Imagine Aliekutoa Bikra Ulimpenda Na Mnaonana Na Anahela Sana Afu Anakuambia Nataki Kimoja Tu Tukumbukie Enzi Zetu
 
Aiii simpi, kwani kunitoa bikra ndio kawa owner wa my papuchino?? Tena namtoa baru hathubutu tena kujileta nyambaafu!! Ukiondoka umeondoka na nakusahau hakuna kurudi.
Kwanza hata aliyenibikiri simkumbuki sijui ni nani vile!!!

mmmmmmh humkumbuki. au ilikuwa kibaba na kimama enzi hizo
 
Kwa Hiyo Anaekupa Mimba Ndo Anakumbukwa Zaidi?
 
yan watangoja mpaka wazeeke..ts aint a big deal bana huyo alibahatika tu kutoa hiyo bikra ila atabak kuwa x
 
hahahahaha now umekuwa bibi. long time no see atoto mzima lakini wewe?

Am very okey, sijui wewe, siku hizi niko huku mahabani tu, si unajua mapenzi yanarun dunia?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom