Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
I couldn't agree more. ..
Thank you.
I couldn't agree more. ..
:mad2::mad2::smokin::smokin:
Nikipewa chance moja tu ya kuua, ntamuua yeye....
Ntasamehe wabakaji ila sio yeye na sijui why nilimchukiaHaha. Na wabakaji wote, au sio?
:mad2::mad2::smokin::smokin:
Nikipewa chance moja tu ya kuua, ntamuua yeye....
Ntasamehe wabakaji ila sio yeye na sijui why nilimchukia
Sikubakwa, sikulazimishwa I did it willingly nikiwa na akili timamu na nikadumu kwenye uhusianoNadhani umemchukia kwa sababu hukuwa tayari kwa muda huo, ama hukuwa tayari kufanya na yeye. Kwa maana nyingine 'alikubaka'.
Sikubakwa, sikulazimishwa I did it willingly nikiwa na akili timamu na nikadumu kwenye uhusiano
ilitokea tu I hate him mnooooo yani hata hizi story za mtoa bikra anathaminiwa nazichukia zinanikataga stimu mnooo
anathaminiwa kwa kuwa? Mi simthamini na hata nkiambiwa kumshuti sishuti kalio ntashuti kichwa
Hahaha. Kwani ilikuwa experience mbaya kiasi hicho mpaka hutaki kukumbuka?
Sikubakwa, sikulazimishwa I did it willingly nikiwa na akili timamu na nikadumu kwenye uhusiano
ilitokea tu I hate him mnooooo yani hata hizi story za mtoa bikra anathaminiwa nazichukia zinanikataga stimu mnooo
anathaminiwa kwa kuwa? Mi simthamini na hata nkiambiwa kumshuti sishuti kalio ntashuti kichwa
Hata kama ni experience nzuri alipita akapita, akumbukwe yeye nani?
Hahahaaaaa!! Mimi nashuti jicho
Ni kama Christopher Columbus kwa America.
I guess ulimbikiri mtu basi mawazo yako wajiona Christopher Columbus unadhani nae anakuona Columbus
kumbe labda anakuwazia kama ES hapa kukushuti tu ha ha ha
Hahaha.
For'eal tho, kuna ushindi fulani nadhani kila mwanaume huwa anajisikia kama amewahi kumsaidia binti yeyote kuvuka usichana wake. My ex kila mara ananikumbusha kuwa nitabaki kuwa mwanaume special maishani mwake, sababu kubwa ni hiyo. And i beat my chest like...
![]()
Ni kama Christopher Columbus kwa America.
Unaezashuti jicho akakimbizwa India akawekewa la kondoo
shuti kichwa medulla kule fuvu kule
Hahaha.
For'eal tho, kuna ushindi fulani nadhani kila mwanaume huwa anajisikia kama amewahi kumsaidia binti yeyote kuvuka usichana wake. My ex kila mara ananikumbusha kuwa nitabaki kuwa mwanaume special maishani mwake, sababu kubwa ni hiyo. And i beat my chest like...
![]()