Kwa wanawake tu

Kwa wanawake tu

kwa kusema ukweli nlo mtoa mimi bado napiga kuna siku nilikuta ananiongelea mimi vbaya eti hawezi tena na mimi nkasema ngoja njaribu nkarudi kumuulza mbna unaniongea vbaya kakataa kata kata eti si yeye alonambia anamsingizia while nmemsikia kwa sikio langu nkapiga tena ndo nkaja kuamin huwa n maneno ya kwenye vibao kata tuu hyo ukitaka mbona unaenda kupopoa kama hautaki vle
 
Hahaha.

For'eal tho, kuna ushindi fulani nadhani kila mwanaume huwa anajisikia kama amewahi kumsaidia binti yeyote kuvuka usichana wake. My ex kila mara ananikumbusha kuwa nitabaki kuwa mwanaume special maishani mwake, sababu kubwa ni hiyo. And i beat my chest like...

Peter_Jackson_66546.jpg

Hahahaaaa! Kwenye hayo mambo tunawadanganyaga na mengi hata usijiaminishe, nakumbuka nishawahi kumdanganya mmoja kuwa yeye boonge la master kitandani kumbe hamna kitu kabisaaaa, akajiona boonge la mtu kumbe hovyo kabisa. Huyo anakufarijigi tu.
 
Hahahaaaa! Kwenye hayo mambo tunawadanganyaga na mengi hata usijiaminishe, nakumbuka nishawahi kumdanganya mmoja kuwa yeye boonge la master kitandani kumbe hamna kitu kabisaaaa, akajiona boonge la mtu kumbe hovyo kabisa. Huyo anakufarijigi tu.
Shhhhhhhhh utapewa red card tukutimulie kiumeni, kwanini watoa siri za kambi teh
 
I guess ulimbikiri mtu basi mawazo yako wajiona Christopher Columbus unadhani nae anakuona Columbus
kumbe labda anakuwazia kama ES hapa kukushuti tu ha ha ha

Unaongea tu wewe.

Akija utakuwa wa kwanza kuomba mechi.
Kwa kuwa nafsi zetu hatujuani
 
Aiii simpi, kwani kunitoa bikra ndio kawa owner wa my papuchino?? Tena namtoa baru hathubutu tena kujileta nyambaafu!! Ukiondoka umeondoka na nakusahau hakuna kurudi.
Kwanza hata aliyenibikiri simkumbuki sijui ni nani vile!!!

Umenisahaue Poa,
 
Aiii simpi, kwani kunitoa bikra ndio kawa owner wa my papuchino?? Tena namtoa baru hathubutu tena kujileta nyambaafu!! Ukiondoka umeondoka na nakusahau hakuna kurudi.
Kwanza hata aliyenibikiri simkumbuki sijui ni nani vile!!!

Dah ! wewe unafanya hatari ! taratibu.
 
Aaah wapi!! Hana thamani hiyo, ukipita na thamani yako imepita.

Suppose alikukuna vizuri vipi hii inakuwa ? yaani amekukuna mpaka umeliaga kama kitoto, hapewi mechi ya mrudio namaanisha ya kuchupa mara moja kuisikilizia kama imebaki.
 
Ngoja Salt Waje Watujibu
 
Hahahaaaa! Kwenye hayo mambo tunawadanganyaga na mengi hata usijiaminishe, nakumbuka nishawahi kumdanganya mmoja kuwa yeye boonge la master kitandani kumbe hamna kitu kabisaaaa, akajiona boonge la mtu kumbe hovyo kabisa. Huyo anakufarijigi tu.


Hahaha. Kumbe we mkatili eh? Lengo la kudanganya huwa ni nini?

Ye hakunidanganya. Ma-dame wa kibongo ndio nadhani baadhi mnapenda kudanganya. Besides, i'm a scorpio, i read people.
 
Na mimi nikajua mtu anatafuta jiko nikaanza kujiandaa vilivyo kumbe anaongelea bikra toka anitoe sijamwona tena na wala simtaki kabisaaa

Akija Na Kupigama Magoti Si Utampa?
 
Back
Top Bottom