Kwa wanawake tu

Kwa wanawake tu

Hahaha. Kumbe we mkatili eh? Lengo la kudanganya huwa ni nini?

Ye hakunidanganya. Ma-dame wa kibongo ndio nadhani baadhi mnapenda kudanganya. Besides, i'm a scorpio, i read people.

Jipe moyo.......
Kwahiyo na mama yako ni "dame" au yeye dame wa wapi?
 
mm nadhani yule aliemzalisha mtoto wa kwanza ndio mwenye nafasi kubwa zaidi ya kurudi sio bikra...mapenzi ya kutoana bikra yalikuwa utotoni zaidi hakuna romance hakuna kumuaanda unachomeka tu raha itoke wapi zaidi ya kumpa maumivu mtoto wa watu
 
Safi, kumbe inauma eeeh!! Sasa kwann uite wenzio dame!!! Safi kama umeligundua hilo.

Nuh! Wala sijaumia. Sijasema na huwa sisemi chochote offensive/dis-respectful against any woman. If it helps, Mama yangu, shangazi, na wanawake wote naowapenda pia ni ma-dame ndio. I just learned another important lesson. It was a nice discussion.
 
Waoo Achen Utan! Mtu Atoe Seal Afu Umtose Game?
 
Waoo Achen Utan! Mtu Atoe Seal Afu Umtose Game?

Ndugu hayo mawazo yafute

Mara nyingi wavulana hudanganyana ukimtoa bikira basi kila utakapo unapata

Hakuna kitu kama hicho

Wengine hata walowatoa hizo bikira hawawakumbuki
 
Uuuuuupsi it depend bhana kama mahusiano yamekuwa mazur na mkaachana kwa upendo friendly mechi jambo La kawaida... Mm siwez kumkumbuka first man kwanza Nina hasiira nae lait lait ningejigeuza mwanaume nimtoe bint yake bikira cos nasikia au mke na mtoto wa kike
 
Kuongea ironically ni nature ya wakina dada. "First experience is always the greatest experience"

Yaani ni kama uanze tu kuwashukuru walimu waliokupa elimu mpaka ulipofikia na kumdharau mwalimu wako aliyekufundisha kusoma na kuandika wakati upo nursery.
 
Hahahaaaa! Kwenye hayo mambo tunawadanganyaga na mengi hata usijiaminishe, nakumbuka nishawahi kumdanganya mmoja kuwa yeye boonge la master kitandani kumbe hamna kitu kabisaaaa, akajiona boonge la mtu kumbe hovyo kabisa. Huyo anakufarijigi tu.
I'm sure na ye kakudanganya mengi na we unajichekesha tu!!!
 
kwa taarifa yako wengiwaliokuwa wa kwanza kukata utepe ndio huchukiwa zaidi........ maana hakukuwa na utamu wowote.... kichungu hakikumbukwi

kwani wanaishia kukata utepe na kuondoka tu, si kuna machi hua zinaendelea baadae... pale ndo pakusahaurishwa maumivu na kushikwa masikio
 
kwani wanaishia kukata utepe na kuondoka tu, si kuna machi hua zinaendelea baadae... pale ndo pakusahaurishwa maumivu na kushikwa masikio

Kumbe Bikira Ikitoka Wanaumiah,muwakumbuke Wachinjaji Mana Walichafuka Kwa Damu,muwape Nyama Mana Waliwapa Mtaji Wa Bucha Zenu
 
Hivi wanaume mnadhani kutoa bikira ni booooooooooooooooooonge la dili eeeh?????
BADILI TABIA, Heshima kwako! Natumaini yangu kuwa yupo ambae atatupa jibu. Hivi wanadhani bikira inatolewa tuuu and then unajipiga kifua kuwa umeitoa? Shame on a man who thinks that!!!:A S 112: Umeitoaje ndio mpango mzima? Kuna utaalam wake ati!! Yaani eti kisa uliitoa basi kila ukija unajisevia? HalaHala nsije kukufurumusha na panga....
 
Kimsingi, mwanamama yeyote mliyewahi na mahusiano yaliyotawaliwa na furaha zaidi ya karaha, na mkaachana katika mazingira mazuri. Mara nyingi sana kunakuwa na nafasi za throwback. Haijalishi ulifungua wewe ama lah.

So fellas, that's the trick. Treat your women right, always.
Salute My Brother!!! :clap2:
 
Mi nikajuwa unauliza ni nani atampigia Lowassa kura.
Jamani lakini usinifanyie hivyo mwenzako, nimekimbia lile jukwaa kule maana ni full headache, nikaamua kuja huku! my MMU mode is activated please ooooh!
 
Back
Top Bottom