Kwa wanawake tu

Kwa wanawake tu

Inategemea alikutoa kwa njia ipi kama alufuata procedure na mliachana labda utoto tu kwanin .......
 
Inategemea alikutoa kwa njia ipi kama alufuata procedure na mliachana labda utoto tu kwanin .......

Wanawake Waje Watujibu Kua Bikira Inatolewa Kwa Njia Ngapi Mana Hapa Utata Tena
 
hahaahaha unasema

Umesema Mapenzi Yanarun Dunia.Nakukubalia Na Ndo Mana Nasema Kamuulize Babu Sea Atakupa Stori Za Mapenzi Na Namna Yalivompeleka Kuule Segera
 
Umesema Mapenzi Yanarun Dunia.Nakukubalia Na Ndo Mana Nasema Kamuulize Babu Sea Atakupa Stori Za Mapenzi Na Namna Yalivompeleka Kuule Segera

mapenzi yanarun dunia hata Alikiba ameimba. sasa wale nitawauliza ngoja yule aingie madarakani kwanza.
 
Aiii simpi, kwani kunitoa bikra ndio kawa owner wa my papuchino?? Tena namtoa baru hathubutu tena kujileta nyambaafu!! Ukiondoka umeondoka na nakusahau hakuna kurudi.
Kwanza hata aliyenibikiri simkumbuki sijui ni nani vile!!!

Uongo wa hal ya juu hamkumbuk...bas umezionja nyng ww? mpaka unasahau nan wa kwanza
 
mapenzi yanarun dunia hata Alikiba ameimba. sasa wale nitawauliza ngoja yule aingie madarakani kwanza.

Jamani Ukikutana Na Aliokutoa Bikira Mwambie Mumeo Unamuona Huyo?Ndo Kasafisha Shamba Ndo Mana Unalima Na Kuvuna Kwa Raha
 
Hivi ikatokea mtu ambae alikutoa bikira anarudi anakuomba mechi na unakuta umeolewa au una mpenzi wako.

Je, utampa mechi au utamtolea nje?

Zamani nlikua napata tetesi kua mwanamke ukimtoa bikira hata akaolewa ukimuomba mechi za ugenini anakupa.

Je, kuna ka ukweli wadau?

Hakuna ukweli wowote, kinacho matter ni mapenzi ya kweli!
 
Imagine Aliekutoa Bikra Ulimpenda Na Mnaonana Na Anahela Sana Afu Anakuambia Nataki Kimoja Tu Tukumbukie Enzi Zetu
Hela apeleke kanisani/msikitini au kwa wenye mahitaji
 
Uongo wa hal ya juu hamkumbuk...bas umezionja nyng ww? mpaka unasahau nan wa kwanza

Yeah nina list ndefu mnoooo, hata wa last year tu simkumbuki huyo wa kwanza ndio tamkumbuka kweli???
 
Chuki Gani Na Umetolewa Utando
 
Hahahaaaa! Kwenye hayo mambo tunawadanganyaga na mengi hata usijiaminishe, nakumbuka nishawahi kumdanganya mmoja kuwa yeye boonge la master kitandani kumbe hamna kitu kabisaaaa, akajiona boonge la mtu kumbe hovyo kabisa. Huyo anakufarijigi tu.

walikuwa wengi
 
Usimyime Bana Naye Ana Haki
 
Back
Top Bottom