Kwa wanawake jf hakuna mwanaume mkweli

Kwa wanawake jf hakuna mwanaume mkweli

Ndugu mwenyekiti mimi nina swali kwa mleta mada "je hizo nudes ulizokua unamtumia umekumbuka kuficha uso... Ni hayo tu ndugu mwenyekiti, asante"
 
Wapo
Mwanaume anaekufata inategemea na wewe mwanamke unavojiweka
I mean unavyojiweka ndo itadertermine ufuatwe na mwanaume wa aina gani
Unajiweka kimalayamalaya, kidangaji. Hapo lazima ufuatwe na hao uliowataja..waende wakatangaze ndoa ilhali wanajua wanamfata mdangaji?
Unajiweka kimalaya wanakuja kwa lengo la kukutumia sio kukioa
Unajiweka kitoto basi watakufata wasio serious na wenye mambo ya kitoto
Na ukiwa mtu makini serious minded utafatwa na walio serious

Jiangalie wewe kwanza.. Wanaume wa kuoa wapo
Hahaha mwanaume anabadilika kutokana na mazingira, hizo sifa ulizotaja mwanaume mmoja tu anaweza kujivika sura zote hizo, anachagua step kulingana na mwanamke anayemwendea kwa wakati huo. Cha muhimu ni kuchukua tu tahadhari, mahusiano ya mitandaoni ni very challenging
 
Download TALA app

Hii ni njia bora ya kupata mkopo wa papo hapo!

Tumia namba ya mualiko 1JG1PN6.

Pata mkopo sasa: install app kwa link hii http://inv.re/79pcu

Kwenye sehemu ya promo code/referal code weka hii 1JG1PN6

Unawezeshwa kianzio cha elfu hamsini

Tumia mualiko uanze na mkopo wa elfu hamsini

Masharti ya malipo kuzingatiwa

MKOPO WA HARAKA KUPITIA TALA MPAKA 500,000/=
We nae na Tala yako
 
Wapo
Mwanaume anaekufata inategemea na wewe mwanamke unavojiweka
I mean unavyojiweka ndo itadertermine ufuatwe na mwanaume wa aina gani
Unajiweka kimalayamalaya, kidangaji. Hapo lazima ufuatwe na hao uliowataja..waende wakatangaze ndoa ilhali wanajua wanamfata mdangaji?
Unajiweka kimalaya wanakuja kwa lengo la kukutumia sio kukioa
Unajiweka kitoto basi watakufata wasio serious na wenye mambo ya kitoto
Na ukiwa mtu makini serious minded utafatwa na walio serious

Jiangalie wewe kwanza.. Wanaume wa kuoa wapo
Hili jiwe limetupwa gizani.
 
Wapo
Mwanaume anaekufata inategemea na wewe mwanamke unavojiweka
I mean unavyojiweka ndo itadertermine ufuatwe na mwanaume wa aina gani
Unajiweka kimalayamalaya, kidangaji. Hapo lazima ufuatwe na hao uliowataja..waende wakatangaze ndoa ilhali wanajua wanamfata mdangaji?
Unajiweka kimalaya wanakuja kwa lengo la kukutumia sio kukioa
Unajiweka kitoto basi watakufata wasio serious na wenye mambo ya kitoto
Na ukiwa mtu makini serious minded utafatwa na walio serious

Jiangalie wewe kwanza.. Wanaume wa kuoa wapo
Siitaji tena bossy mkiniona humu nahitaji mume nisuteni kabisa malaya ni wangapi wameolewa sio shivaz humu matako bar wewe humu meti onyo meaning huku wanaume serious hawapo wapo wakupotezeana mb tu
 
Mmh kwa humu JF sidhani sina uhakika but mm naamin mitaani kwetu mbona wake wa kuoa wapo wengi tu
Hongera kwa maamuzi sahihi ni ukweli mwanaume wanawake wapo mitaani you can't love someone who is not near u.
Mwanaume mke ni yule ambae upo karibu yake.
Unayemkubalii
 
Hahaha mwanaume anabadilika kutokana na mazingira, hizo sifa ulizotaja mwanaume mmoja tu anaweza kujivika sura zote hizo, anachagua step kulingana na mwanamke anayemwendea kwa wakati huo. Cha muhimu ni kuchukua tu tahadhari, mahusiano ya mitandaoni ni very challenging
Khantwe big up jamani yaani huo ndio ukweli
 
Wakati watu wajf wanasema wameolewa wameoa humu ila jf nope kweli mtanisamehe jf wapo watu ambao hawapo serious wako kwenye matani utoto napia wao hawajielewi wanatakaje .
Wanapotezea muda mtu isitoshe anaahidi mengi kumbe mwongo.
Anafikia kubaya sana anaahidi watu wazima jambo kumbe ni waongo.
Wanaume humu ndani wanakuwa sio wazuri asilimia zao fulani ni matapeli waongoo watakupotezea muda tu.
Nawashauri kama mnataka kuolewa kuwa na familia yenye heshima sio mwanaume wa humu.
Mwanaume ni yule unayemwona .
Anayekukubali unayemkubali anayekufia unayemfia zile feelings .
Ila humu utapoteza mb zako kutuma picha kuchart naye nausiku kumwota au kumuwaza.
So becareful mume wa kukuoa when time comes you will get married hata kama ni mwaka gani GOD IS ABLE IN EVERYTHING JUST BELIEVE IN HIM
POA JAMANI.
NIWATAKIE View attachment 976947

SIUNGANI NA WW , KAMA umekutana na WATOTO NI JUU yako

NI Kama kuchota maji ukichota uchafu mwaga chota tena
MM BADO NATAFUTA MKE HOPE NTAPATA TU SO LONG AS NISHASEMA WAZI NAHITAJI MMTU WA AINA IPI
 
Hongera kwa maamuzi sahihi ni ukweli mwanaume wanawake wapo mitaani you can't love someone who is not near u.
Mwanaume mke ni yule ambae upo karibu yake.
Unayemkubalii
Ndo nashangaa wadau wanasema mtaani hakuna wyf material wakat wamejaa kibao kama wote kwa iyo nawasii wadau wachangamkie fursa za warembo mtaani
 
Nimemaliza kusema uongo sasa mwaka 2019 nitasema ukweli mtupu tena mtupu tu jf hakuna wanaume wakuoa wala wanini wapo wakuwatania nakuwa chora wadada ndio hivyo.
Mkuu umewajaribu wote?
 
Nawataadharisha waliobaki wasipoteze muda wao muda mwingi watengeneze hela wasome wafaulu na mb zao watumie katika kutangazia biashara zao nakutafuta nafasi za kazi sio kudangwanywa humu au facebook au popote pale ukitaka mke /mme anapatikana mitaani na sehemu za kula kunywa concerts ona mtu sio kuota mtu.
shukuru Mungu wako uache kulalamika sasa
 
Back
Top Bottom