Kwa wanawake jf hakuna mwanaume mkweli

Kwa wanawake jf hakuna mwanaume mkweli

Kwa hizi ID fake unaweza kuta unaepost haya maneno ni Dem wangu, au hta Dada yangu
 
Mimi nnamapenzi yakweri ila2 sjabahatika kupata some one humu ..na naweza nkampata alaf akawa mambo mengi badae...
 
We tuchafue tu lakini inawezekana tatizo lako upweke na u"single"

Niko na mwenzako niliyempata humu humu tunakula sikukuu. We baki na upweke wako
 
Kwa hizi ID fake unaweza kuta unaepost haya maneno ni Dem wangu, au hta Dada yangu
Ahahaah,, ni kweli ila JF bhana unaweza ukawa unasaundisha kumbe unasaundisha bibi yako au mama mkwe wako mana si kwa ID hizi
 
Wakati watu wajf wanasema wameolewa wameoa humu ila jf nope kweli mtanisamehe jf wapo watu ambao hawapo serious wako kwenye matani utoto napia wao hawajielewi wanatakaje .
Wanapotezea muda mtu isitoshe anaahidi mengi kumbe mwongo.
Anafikia kubaya sana anaahidi watu wazima jambo kumbe ni waongo.
Wanaume humu ndani wanakuwa sio wazuri asilimia zao fulani ni matapeli waongoo watakupotezea muda tu.
Nawashauri kama mnataka kuolewa kuwa na familia yenye heshima sio mwanaume wa humu.
Mwanaume ni yule unayemwona .
Anayekukubali unayemkubali anayekufia unayemfia zile feelings .
Ila humu utapoteza mb zako kutuma picha kuchart naye nausiku kumwota au kumuwaza.
So becareful mume wa kukuoa when time comes you will get married hata kama ni mwaka gani GOD IS ABLE IN EVERYTHING JUST BELIEVE IN HIM
POA JAMANI.
NIWATAKIE View attachment 976947
maneno ya aliumwa na nyoka. anafikiri hata majani ni nyoka. tafuta mume wewe acha misimamo ya maumivu. kama jf au nje ya jf wewe jipatie mume. wako wengi sana.
alafu unaonekana wewe mwingi sana. umetoka na wangapi jf mpaka ujumlishe wanaume wanaume wote wa jf

nb nawapingeza sana wanaume wa jf kwa kumkimbia huyu mtu. inaonyesha alikuwa na lundo la watu akifikiri mapenzi ni maembe ya buguruni. wanaume wa jf wanajielewa sana na huwezi kuwaibia kirahisi.
wengi wasomi wajanja na wanawaelewa watu wajanja wajanja na kama umeenda kwa hivyo huwapatiiiiii
 
Back
Top Bottom