jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,400
Tafadhali kama wewe si mwanaume au ni mwanaume usiye kuwa na ndevu hii haikuhusu..
Nilikuwa naongea na daktari mmoja katika hospitali moja kubwa sana katika nchi niloyokwenda kutembea..chonde chode tafadhali kama unatumia dawa ya kupaka kuzuia ndevu zisiweze kuwahi kuota ni kwamba dawa hizo zinaleta cancer ya ngozi na kama ulikuwa unampango wa kutumia tafadhari usifanye hivyo na kama unatumia acha mara moja ...
MESSAGE DELIVERED..
Nilikuwa naongea na daktari mmoja katika hospitali moja kubwa sana katika nchi niloyokwenda kutembea..chonde chode tafadhali kama unatumia dawa ya kupaka kuzuia ndevu zisiweze kuwahi kuota ni kwamba dawa hizo zinaleta cancer ya ngozi na kama ulikuwa unampango wa kutumia tafadhari usifanye hivyo na kama unatumia acha mara moja ...
MESSAGE DELIVERED..