Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
<br />....wasi wasi wangu ni kwamba unaweza kuzuia ndevu zisiote then hizo nywele zikajikusanya ukaota mkia.....
<br />
dah! We mkali mkuu,nimecheka mpaka watu kwenye daladala wamenishangaa.
<br />....wasi wasi wangu ni kwamba unaweza kuzuia ndevu zisiote then hizo nywele zikajikusanya ukaota mkia.....
<br />Mi nimeshatumia dawa ya kimasai na hazioti.
Nisaidie bac na mm hii nambahebu tupe maelezo ya kutosha Gama. Ya kimasai haiwezi leta kansa.