Kwa wanaume watu wazima tu!!!

Kwa wanaume watu wazima tu!!!

Ushauri wangu, japo umewaita wanaume wenzio.
1. Either ukatafute mwanamke au mpenzi wako wa zamani.
Hakikisha husahau kuvaa Kondomu.

2. Weka picha la Porn kisha jipigie zako puli taratibu huku ukitazama.
BILA HVO, UTAUMIA VIBAYA...!!!
 
try
  • consult your right hand...... mastabeti
  • talk to her. tell her you miss her and all that. itapunguza msongo na utapata ari mpya ya kumaintain faithfulness. communication is vital for long distance
  • pray
 
Pengine!!!

Sasa pengine humuamin mkeo? Mie nakushaur mkuu kabla hujaish na mkeo namaanisha kabla hujamuoa mkeo ulikua unaish VIP? Nijibu nikuoe njia mbadala maaana mke ni heshma kubwa haswa kwa anaejielewa vipuku puku ni uvundo na ukiiukabili bas hata ukoge vip utanuka vindo na mkeo atagundua kama muaminif ila Kama nayeye anapinda nje bas mtawanukisha watoto wenu vundo hilo la ngono zembe
 
mimi huwa napiga ulabu kwa WINGI , nikiingia kitandani tu nashituka ni asubuhi , huyoooooooo kibaruani . ukizidiwa nunua za kichina , piga goli za uhakika kama mbili hivi then swali
 
Mkuu huwezi amini yaani nimepanga nisiduu mpaka mama arudi lakini naona naelemewa, mimi nataka nipate mdau aliye kwenye ndoa na amewahi kufanikiwa kukaa mda mreefu kiasi hicho bila kumega anipe siri ya mafanikio

...mkuu naomba muongozo kwanza,kabla ya kuoa ulikuwa chapachapa...?
 
Mpigie simu mkeo, ongea naye, umuulize yeye maisha yake anayaendeshaje bila wewe huko aliko. Then, ufanye kama anavyofanya, maana nyie ni mwili mmoja.

Nimeshapata ushauri mmoja ambao naweza nikaanza kuufanyia kazi fasta bila madhara, tofauti na ushauri wa
Nyani Ngabu ambao inabidi utulie kwanza kabla ya ku-implement .
 
Last edited by a moderator:
Ushauri wangu, japo umewaita wanaume wenzio.
1. Either ukatafute mwanamke au mpenzi wako wa zamani.
Hakikisha husahau kuvaa Kondomu.

2. Weka picha la Porn kisha jipigie zako puli taratibu huku ukitazama.
BILA HVO, UTAUMIA VIBAYA...!!!

Thanks!! Ila niliwakataza wamama kuja huku.
 
try
  • consult your right hand...... mastabeti
  • talk to her. tell her you miss her and all that. itapunguza msongo na utapata ari mpya ya kumaintain faithfulness. communication is vital for long distance
  • pray

Thanks man!!
 
Piga pembeni wewe,hujui huko mwenzako atazipunguzaje!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Sasa pengine humuamin mkeo? Mie nakushaur mkuu kabla hujaish na mkeo namaanisha kabla hujamuoa mkeo ulikua unaish VIP? Nijibu nikuoe njia mbadala maaana mke ni heshma kubwa haswa kwa anaejielewa vipuku puku ni uvundo na ukiiukabili bas hata ukoge vip utanuka vindo na mkeo atagundua kama muaminif ila Kama nayeye anapinda nje bas mtawanukisha watoto wenu vundo hilo la ngono zembe
Namuamini sana lakini mchangiaji alisema PENGINE na ningebisha angenichalenji kwamba nitajuaje huko aliko? vinginevyo naomba ujue kwamba namuamini sana ndo maana nathubutu kupata taabu kiasi hiki kwa ajiri yake
 
Mkuu,

Hutaweza kupata hashki ya ngono kama akili yako hutaipa muda wa kufikiri kuhusu ngono.

Huwa inashauriwa kujishughulisha ili kuondoa kila aina ya fikra zenye kupelekea kuwaza ngono.

Na zaidi inashauriwa kufanya mazoezi kwani hii huufanya mwili uchoke mwisho wa siku utaishia kuhitaji kupumzika.

Nini cha kufanya?
1 .Ongeza shughuli zitazokuchosha zaidi iwe za kimwili au kiakili

2. Kama una marafiki si mbaya ukawa unakutana na marafiki kubadilishana mambo mawili matatu walau kusogeza kidogo muda, hii itakufanya ubakiwe na muda wa kulala tu.

3. Kama ni mpenzi wa kusoma majarida, vitabu au kuangalia filamu...basi unapokuwa kitandani jaribu kufanya shuguli hizo hadi utapopitiwa na usingizi.

4. Jaribu kutafuta ndugu au jamaa yoyote wa kiume na uishi naye kwa muda huu uliobakia hadi mkeo ataporudi.

5. Kama una namna ya kuwasiliana na mkeo kwa njia ya simu ni vyema zaidi ukawa unawasiliana naye mida ile unayokaribia kulala. (Hii ni muhimu mkuu tena kuliko zote hapo juu).

6. Kama ni muamini basi hakikisha unasali au unasoma maandiko ya Mungu kabla ya kulala.
 
mimi huwa napiga ulabu kwa WINGI , nikiingia kitandani tu nashituka ni asubuhi , huyoooooooo kibaruani . ukizidiwa nunua za kichina , piga goli za uhakika kama mbili hivi then swali

Kaka hapa naona pana ushauri mzuri, ila sijakuelewa ninunue za kichina nini hizo?
 
Utadata wewe, shauri yako.

Kumega ni stress reliever. Sasa wewe ezi mbili tu hoi....hizo ezi aruba zilizobaki si utaokota makopo kabisa....

Wewe nenda kanunue sukari upone. Sio dhambi.

Hahahahaha, NN bana we balaa
 
...mkuu naomba muongozo kwanza,kabla ya kuoa ulikuwa chapachapa...?

Naomba nikiri kabla ya kuoa nilikuwa watu tofauti tofauti maana nilikuwa sina mtu permanent, hivyo ilikuwa nikijisikia tu natafuta mtu anakaimu siku moja anakula kona lakini kwasasa mimi ni mme wa mtu natakiwa nisitoke nje ya ndoa tatizo ndo hivo kichupa kimejaa balaa.
 
Mkuu huwezi amini yaani nimepanga nisiduu mpaka mama arudi lakini naona naelemewa, mimi nataka nipate mdau aliye kwenye ndoa na amewahi kufanikiwa kukaa mda mreefu kiasi hicho bila kumega anipe siri ya mafanikio
achana nae huyo kashindwa kuficha ujinga wake.
 
Wadau wa JF mwenzenu nipo katika wakati mgumu sana nataka tubadirishane uzoefu. Mke wangu kasafiri kikazi nje ya nchi atakuwa huko kwa miezi Sita na tokea ameondoka ni miezi miwili tu imepita, mwenzenu sijafanya mapenzi mda wote huo wa miezi miwili na kichupa nahisi kimejaa. Napata taabu sana nimejaribu kufanya mazoezi na kushiriki michezo mbali mbali kusahau maswala ya ngono, achilia mbali nikiwa ofisini naji keep busy sana lakini ikifika usiku nikiwa Kitandani napata taabu sana maana 'mzee' anasimama wima kwa mda mrefu sana hata usingizi inakuwa ishu kupata, Mimi sitaki lakini mwili unahitaji kufanya mapenzi kwakweli, Hebu nipeni uzoefu nifanye nini ili katika hiki kipindi cha miezi sita nisitoke nje ya ndoa kwani ni miezi miwili tu hali imeshakuwa hivi, je kuna mtu amewahi kukaa mda mrefu kiasi hiki bila kufanya mapenzi? kama yupo anipe uzoefu alikuwa anafanya nini kuikabiri hii hali maana kuna kila dalili kwamba nitashindwa.



mkuu upo serious nahayo mananeno yako? kama upo serious pole sana ila ushauri' usiendeshwa kwa tamaa na hisia za mwili wako!! maana miezi sita mda mfupi sana.
vip kama ungehukumiwa kifungo cha jela kwa mwaka mmoja ungefanyaje?
au umeandika ili kuonyesha kwamba ww ni rijali huwez kukaa bila kuduu kwa miez sita?
kingine sikushauri kuchukua mwanmke corner baa maana laana ya huko ukianza huwezi kuacha' utakuwa unamuacha mkeo unaenda kutafuta malaya!! tafakari, chukua hatua.!!!
 
By design kichupa huwa kinadischarge automatically kikijaa so unless uwe na shida nyingine sidhani kama kuna haja ya kuwa na wasiwasi na hilo. Mazoezi ni jambo zuri; kuwa busy mchana kutwa nalo ni jema; kula vizuri; soma au tazama programmes zisizohusu mapenzi mfano malumbano ya hoja, kipima joto, Premier league na hivi gemu za bandika bandua etc etc. Then hakikisha unawasiliana sana na "mama" hasa wakati wa kwenda kulala. Hapo utapata usingizi mzuuri na mengine yatakua historia......Tatizo sio kichupa wala kichwa cha chini, bali Bichwa la juu (THE MIND). Likiwa sawa hilo na ikiwa unampenda "mama" na kuiHESHIMU ndoa yako, miezi sita nini bana unaweza kaa hata miaka! Ila kama bichwa linakuzingua sana (miezi miwili tu unaona nongwa) basi uende mbele zaidi kwenye mzizi... THE HEART. Linda sana moyo wako kuliko vyote ulindavyo....maana hapo ndipo zitokazo chemichemi za uzima. Nani anatawala moyoni mwako if I may ask, by the way?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom