Rafiki nimefurahi umesoma post kwani hata kama hukuipenda naamini hiyo ndiyo dawa ya tatizo lako... Kama una malaria ili kupona lazima upate Chloroquine ni chungu ati lakini inaponyesha.....
Maisha ya ndoa ni mchezo wa ajabu sana ambao kanuni zake unazipanga wewe na wala sio kupata mawazo hapa jamvini..Yale wanayokufundisha kule kanisani, msikitini, na jamii inayokuzunguka ..sometimes mtayaona hayafai..utabaki wewe na mke wako..na nyinyi wawili ndio mtapanga maisha yenu....Sasa Challenge kubwa katika kupanga hizo "rules of the game" ni sisi wanaume..wanaume tumerithi "ubinafsi" wa ajabu sana..mimi ni mbinafsi, wewe ni mbinafsi, baba yangu ni mbinafsi, baba yako, jirani yako mwanaume..etc..etc..wanaume wote tuwabinafsi... Ndio maana kwa ubinafsi huo umekimbilia kutumia ID za MMU na kuuliza swali ambalo wengine wamekuambia kamuulize mke wako... kama ungekuwa sio mbinafsi ungemuuliza mke wako akupe jibu...
Tunarudi pale pale... maisha ya ndoa ni kati yako na mkeo.. nyinyi wawili mnatunga kanuni za ndoa yenu..na wewe ndio kinara kwa kutunga hizo kanuni.. sikwambii ufanye au usifanye kwani wewe ni mtu mzima na una akili timamu.. Labda niwe muwazi.. Binafsi I don't care sexual intercourse acts ambazo haziko extreme!.. kama mke wangu atatoka nje mara moja au mbili.. nami sina uwezo wa kujua kama ametoka I don't care as long as amefurahisha mwili wake kwa muda ule na siyo Roho yake kwani rohoni bado niko mimi ..kama mke wangu atanipenda kwa roho na siyo mwili..Basi maisha yataendelea... Naamini mwili una majaribu.. na sote ni binadamu na siyo malaika.. Sikwambii ili kufagilia uzinzi..lakini nataka uone mbali ili ujue wewe hauna tatizo linalokusumbua zaidi ya ubinafsi ambao utakupeka kuwa mzinzi... Nakwambia tu kama unataka kufanya..basi ujue kwa nini unafanya.. Dhamira yako ikwambie ukweli.. hasa kama utamwomba ushauri mkeo halafu baada ya kukupa huo ushauri nenda kafanye... otherwise, usiniambie ulikuwa ujui kupiga punyeto..asilimia 99% ya wanaume wameshawahi kusikia au kupiga punyeto..
Nadhani umenielewa..Sex ni sehemu tu ya Mapenzi, Ndoa, Maisha na wala sio kigezo cha kuumiza akili... ila inabidi uwe mwerevu kujua hilo kwani unaweza tumia vibaya iko kigezo na kuanza kuosha ovyo rungu lako... fikiria dhamira yako.. na ubinafsi wako kwanza!