Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

wanawake wengine wanasimuliana saluni kwamba jamaa hana lolote ndio maana tunafanya kweli mapema hata akisimulia umeshakamua mzigo vya kutosha na ili uweke heshima kwa mwanamke kamua papuchi yake haswaaaaaaa ukicheza makida utaumbuka na atakukimbia ila suala la kutangaza kwa watu sio ishu hata mm sipendi ila mzigo piga vya kutosha

sawa mkuuu
 
hapana namaanisha kusex tu kwa starehe
Basi ungeandika kufanya mapenzi, unapoandika kumfanya mapenzi, ni kana kwamba hicho ni kitendo cha upande mmoja, wakati wote mnashirikiana kwa pamoja, au labda unaposema kumfanya, aidha kambaka, kama wamekubaliana basi hakuna anayemfanya mwenzie, wote wanafanyana!!

Kwa upande wangu naona sana kinyume chake, wadada na wamama wengi wanatangaza kwa watu kuwa nimetembea nao, wakati sio kweli, na niliotembea nao wanasema kwa watu kuwa"usimuone urefu tu yule, hana lolote, hawezi kabisa kaka wa watu, mie juzi kanipaka shombo tu"
 
Kuna watu wengi hufanya hivyo kufidia mapungufu yao ambayo wanayajua wao wenyewe na hujihisi kama kwamba mapungufu yao hufahamika na kila mtu.Wengi huona jambo hilo kama ishara ya ushujaa,uanaume na fahari isiyoweza kushindanishwa na kitu chochote ukijuacho duniani!Bahati mbaya zaidi hata baadhi ya wanawake hufurahia kuona watu kama hao!Hizi ni tabia za watu weusi

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Wewe unamjuwa Limbukeni? Unanijua mimi? Unajuwa naishi wapi? Je unawajuwa hao wahusika? Je umeelewa mada inayojadiliwa hapa ni nini?

Punguwani wewe.
Nikujue ili iweje?!! Kwani kuna haja gani ya kutuambia unatembea na wake za watu??
 
Acha wajisifie tu maana siku hizi kila msichana unayemgusa utasikia KAN'TANGAZEEEE! sasa usishangae wanaume kuamua kutangaza kweli. Wanafuata maelekezo!!!
 
Na hao wanaoropoka huwa hawatutoshelezi. Tatalatatala nyiiiiingi kazi kidogo. Akitoka uwanjani maneno debe wakati bao lilikuwa la kubembeleza na tena moja tu! Midume mingine bana!
 
Basi ungeandika kufanya mapenzi, unapoandika kumfanya mapenzi, ni kana kwamba hicho ni kitendo cha upande mmoja, wakati wote mnashirikiana kwa pamoja, au labda unaposema kumfanya, aidha kambaka, kama wamekubaliana basi hakuna anayemfanya mwenzie, wote wanafanyana!!

Kwa upande wangu naona sana kinyume chake, wadada na wamama wengi wanatangaza kwa watu kuwa nimetembea nao, wakati sio kweli, na niliotembea nao wanasema kwa watu kuwa"usimuone urefu tu yule, hana lolote, hawezi kabisa kaka wa watu, mie juzi kanipaka shombo tu"
sawa kumbe hata wamama wanasema
 
Acha wajisifie tu maana siku hizi kila msichana unayemgusa utasikia KAN'TANGAZEEEE! sasa usishangae wanaume kuamua kutangaza kweli. Wanafuata maelekezo!!!

ha ha ha ha kumbe wanataka wenyewe jamani... basi kwa wale wasiotaka wasifanye hivyo jamani loh
 
Na hao wanaoropoka huwa hawatutoshelezi. Tatalatatala nyiiiiingi kazi kidogo. Akitoka uwanjani maneno debe wakati bao lilikuwa la kubembeleza na tena moja tu! Midume mingine bana!

wanahitaji ngumi
 
Kuna watu wengi hufanya hivyo kufidia mapungufu yao ambayo wanayajua wao wenyewe na hujihisi kama kwamba mapungufu yao hufahamika na kila mtu.Wengi huona jambo hilo kama ishara ya ushujaa,uanaume na fahari isiyoweza kushindanishwa na kitu chochote ukijuacho duniani!Bahati mbaya zaidi hata baadhi ya wanawake hufurahia kuona watu kama hao!Hizi ni tabia za watu weusi

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

asante kumbe ni kama mwavuli
 
Ni moja ya tabia za wavulana na wakati mwingine yaweza komaa hasa akija kujua papuchi ukubwani. Hakuna mwanaume ambaye hajawai pitia hii tabia ila umri unavyosogea huanza kuacha.
 
Ni moja ya tabia za wavulana na wakati mwingine yaweza komaa hasa akija kujua papuchi ukubwani. Hakuna mwanaume ambaye hajawai pitia hii tabia ila umri unavyosogea huanza kuacha.

asante sana
 
Na hao wanaoropoka huwa hawatutoshelezi. Tatalatatala nyiiiiingi kazi kidogo. Akitoka uwanjani maneno debe wakati bao lilikuwa la kubembeleza na tena moja tu! Midume mingine bana!

Sema kweli haki ya nani! Kwamba wanashindwa kuishugh'ulikia ipasavyo ndiyo maana wanajipoza machungu kwa kujisifia?
. Walahii wewe umeniamshia mshipi wangu.
 
There is others have contemptible comment...ili uwe maarufu? Au...matusi ya nini ukikosolewa? Kazi kweli kweli!
 
Kwa kifupi siri za ndani tuziache ndani tu,muda mwingine huwa nahisi ni ushamba na utoto ila unakuta jamaa mtu mzima kabisa anakusimulia mambo hayo aliyoyafanya kwa msichana,mwingine kila akisex lazima atangaze.
Kwangu mimi huwa sipendi ukianza kuniambia tu nakukatisha mapemaaaaa.
 
Back
Top Bottom