miss chagga hapo kila mtu atajitahidi kuficha makucha yake
lakn ktk hali ya kawaida ya mwanaume nafsi yake inaona fahari kufanya sex na mwanamke.
Japo tofauti inakuwepo,
.kuna ambaye atatangaza
.yupo atakayejisifia moyon kimya kimya.
Na hasa atajiona proudly pale atakapofanikiwa kumgegeda mwanamke mwenye msimamo ambaye hajihusishi sana na mahusiano.
Japo wengi watakataa lakn ukweli wanaume karibia wote wanaona fahari kugegeda ila wale wenye ufinyu wa fikra ndio wanafikia hatua ya kutangaza kabisa ila wenye vifua huishia kujisifia kimoyomoyo na wengne humsimulia rafki yake wa karibu