Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

hao wanaojisifia ndo wale wasioweza mavituzi wawapo 6 x 6....kuna WAKIMYAAaa ila ni VIWEMBEEEee wanadunda na huwa wanasifiwa na madem..kiasi cha madem kupenda kutongozwa nao
 
Maswali hayo waulize wanawake wenzio maana ninyi ndio mnatengeneza mazingira. Kwani mnapotupa mnafikiria nini?
Kwani hiyo papuchi mmepewa ya nini? Mbapotamani kuzaa mtazaaje?

sasa ndiyo muitangaze mkishaila jamani mweee
 
mambo rafiki

kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:

  • ni ufahari/ushindi?
  • starehe?
  • unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa
kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu.....huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi....

wanaume fungukeni tupate kuelewa..

Hayo wanafanya baadhi ya vijana, wavulana na Serengeti Boys. Kwa kawaida wanaume hawafanyi utoto huo japo sikatai wanaweza kuwepo wanaume kimwili lakini wavulana kiakili
 
Kumfanya mapenzi mwanamke ndio kufanyaje?
Nilihisi nimeelewa ila ulipoandika kile kipengele cha kwamba ni kumdhalilisha mwanamke nikashtuka kuwa huenda umemaanisha kitu tofauti!
 
kuna wanawake pia hu hadithia wasipofikishwa, nao tusemeje? ikimpinda vizuri ni lazima ujisifu
aisee sawa tu
hao wanaojisifia ndo wale wasioweza mavituzi wawapo 6 x 6....kuna WAKIMYAAaa ila ni VIWEMBEEEee wanadunda na huwa wanasifiwa na madem..kiasi cha madem kupenda kutongozwa nao
nadahini ni kweli
 
Ni adhabu, ni shida, ni starehe fupi yenye majuto na gharama kwani wengi mna tamaa na ni wa hafu na mna shida nyiiingi. Unajiremba nje kumbe ndani maji taka. Nk
 
Kumfanya mapenzi mwanamke ndio kufanyaje?
Nilihisi nimeelewa ila ulipoandika kile kipengele cha kwamba ni kumdhalilisha mwanamke nikashtuka kuwa huenda umemaanisha kitu tofauti!

hapana namaanisha kusex tu kwa starehe
 
miss chagga hapo kila mtu atajitahidi kuficha makucha yake
lakn ktk hali ya kawaida ya mwanaume nafsi yake inaona fahari kufanya sex na mwanamke.

Japo tofauti inakuwepo,
.kuna ambaye atatangaza
.yupo atakayejisifia moyon kimya kimya.

Na hasa atajiona proudly pale atakapofanikiwa kumgegeda mwanamke mwenye msimamo ambaye hajihusishi sana na mahusiano.

Japo wengi watakataa lakn ukweli wanaume karibia wote wanaona fahari kugegeda ila wale wenye ufinyu wa fikra ndio wanafikia hatua ya kutangaza kabisa ila wenye vifua huishia kujisifia kimoyomoyo na wengne humsimulia rafki yake wa karibu

Hakuna aliyekataa kwamba hakuna wanaume wenye tabia hizo tena wengine usimulia hata faragha zao na wake zao lakini si kila mtu yuko hivyo.

Kuna watu kwenye swala la mahusiano hatushei info na marafiki na ndio kuna ndoa zingine zinakuwa kwenye mgogoro mkubwa sana na wengine hawalali kitanda kimoja lakini hakuna mtu atakayejuwa.

Pia ukumbuke kila mtu ana choice zake wanawake wana choice zao na kama wewe ni choice yake mwanamke mwenye akili atakutongoza yeye na mwanaume unapoona mwanamke ni choice yako ndio unamwagia tongozo lako.

Sioni big deal hapo, otherwise tatizo kubwa sana la wanaume ni kutojuwa timing sahihi ya kuconnect na wanawake wenye sifa wanazotaka.
 
Last edited by a moderator:
Hapa naona watu wanajificha hapa,ki ukweli kabisa KILA mwanaume LAZIMA aseme(sijui kama ndo kutangaza??maana hata kama ukimuambia mshikaji wako mmoja huko tayari nikutangaza) ila ni kawaida kusema,sasa inakuja hoja kuwa unasema ili nini.
1.Labda mwanamke huyo anajua majambo hadi chenji ya rada inabaki,yaan mauno viuno,mtu anajua mambo hadi balaa.(Kwa hiyo hapa nikumsifia)
2.Labda mwanamke alikuwa anazungusha mahakama(wanasema huwa ni wagumu),sasa siku atayempitia ataeleza kwa rafiki yake/zake kuwa yule demu bwana nimefanikiwa kusign pale.(UJIKO:first🙂
3.Labda demu alikuwa mtu wa mashauzi mengi na nyodo kibao kitaa au mahali alipo,sasa akipitiwa mhusika atasema kuwa kamkomesha nyodo zote mfukoni,na mbaya sasa huyo mwanamke awe gogo kitandani,hapo atasemwa vibaya sana.🙂embarrassed🙂
..Kwa hiyo ndio kusema kuwa inategemea na aina ya huyo mwanamke anayesemwa/au kutangazwa,ila UKWELI hakuna mwanaume ambaye hajawahi msema dem aliyempitia,hata kama ni wale wanaojiuza njian au popote ipo siku ukikaa na washkaji utasikia tu..dah!kuna siku nlikula malaya mmoja anajua mambo dunia ya kati hakuna...
 
Hapa naona watu wanajificha hapa,ki ukweli kabisa KILA mwanaume LAZIMA aseme(sijui kama ndo kutangaza??maana hata kama ukimuambia mshikaji wako mmoja huko tayari nikutangaza) ila ni kawaida kusema,sasa inakuja hoja kuwa unasema ili nini.
1.Labda mwanamke huyo anajua majambo hadi chenji ya rada inabaki,yaan mauno viuno,mtu anajua mambo hadi balaa.(Kwa hiyo hapa nikumsifia)
2.Labda mwanamke alikuwa anazungusha mahakama(wanasema huwa ni wagumu),sasa siku atayempitia ataeleza kwa rafiki yake/zake kuwa yule demu bwana nimefanikiwa kusign pale.(UJIKO:first🙂
3.Labda demu alikuwa mtu wa mashauzi mengi na nyodo kibao kitaa au mahali alipo,sasa akipitiwa mhusika atasema kuwa kamkomesha nyodo zote mfukoni,na mbaya sasa huyo mwanamke awe gogo kitandani,hapo atasemwa vibaya sana.🙂embarrassed🙂
..Kwa hiyo ndio kusema kuwa inategemea na aina ya huyo mwanamke anayesemwa/au kutangazwa,ila UKWELI hakuna mwanaume ambaye hajawahi msema dem aliyempitia,hata kama ni wale wanaojiuza njian au popote ipo siku ukikaa na washkaji utasikia tu..dah!kuna siku nlikula malaya mmoja anajua mambo dunia ya kati hakuna...

asante mkuu wewe umesema vyema nayo yasikiaga na akimla tigo ndiyo balaaaa acha kabisa atajuta kuringa
 
Huwa nashangaa wanaume kupewa lawama na kuambiwa eti wana vibamia wakati tatizo ni hizo papuchi oversize. Makombora, madebe ambayo hata ufanye adjustment gani hayawezejani. Acheni lawama. Kafa yeni plastic surgery nzipunguze. Loooh mnatuchosha watoto wa wenzenu. Mwanamke kabeba utadhani allocation ya wanawake 4 !!!
 
Pole dada yangu miss chagga kwa kujiuliza maswali mengi sana.

Hili la kujisifia/usifiwa ni hulka ya binadamu, hakuna binadamu siyependa kujisifu au kusifiwa, kwa vile hii ni kawaida yetu binadamu basi siyo ajabu, ila kitakacho fanya kujisifu au kusifiwa lionekane ni jambo la ajabu ni aina ya sifa unayojifisia au kusifiwa, hapa ndiyo utakuta na zile sifa za kijinga na zile zenye lengo la pongezi kutokana jambo jema ulilofanya n.k n.k

Tukirudi katika hili swala la mwanaume kujifisia kufanya mapenzi na mwanamke, kwanza kabisa hapa inategemeana na jinsi mwanaume anavyo lichukulia swala zima la mapenzi, kuna wengine hulichukulia ni jambo la siri sana hata ukigundua kwa bahati mbaya kafanya mapenzi na mwanamke fulani hatokubali kutoka na jinsi alivyojenga mtazamo wake juu ya mapenzi, lakini pia hapa kuna wale wanaolichukulia kama ni jambo la sifa hivyo kulisema kwa mtu yeyeto yule siyo shida wala haoni ajabu haijalishi kaulizwa ama laa!

Kwa mantiki hiyo hapa utagundua kwamba huko ni kujisifia siyo;


  • ufahari/ushindi
  • starehe
  • kudhalilisha mwanamke
Hizo ni tabia tu hata kwa wanawake pia wapo wanaojisifia kufanya mapenzi na wanaume.

Vile vile tabia hizi za kujisifia mara nyingi wanazo sana wale vijana au wanaume ambao hawajaingia katika ndoa, sitegemei kumsikia mtu alieko kwenye ndoa akijisifia jinsi anavyofanya mapenzi na mkewe, ikiwa hivyo basi huyu hajui thamani ya mke.

Lakini yote kwa yote zinaa ni dhambi haijalishi unajisifia kwa ujuzi wako wa kufanya ngono ama unaficha, subiri wakati wako ufike.
asante sana mkuu
 
wanawake wengine wanasimuliana saluni kwamba jamaa hana lolote ndio maana tunafanya kweli mapema hata akisimulia umeshakamua mzigo vya kutosha na ili uweke heshima kwa mwanamke kamua papuchi yake haswaaaaaaa ukicheza makida utaumbuka na atakukimbia ila suala la kutangaza kwa watu sio ishu hata mm sipendi ila mzigo piga vya kutosha
 
Huwa nashangaa wanaume kupewa lawama na kuambiwa eti wana vibamia wakati tatizo ni hizo papuchi oversize. Makombora, madebe ambayo hata ufanye adjustment gani hayawezejani. Acheni lawama. Kafa yeni plastic surgery nzipunguze. Loooh mnatuchosha watoto wa wenzenu. Mwanamke kabeba utadhani allocation ya wanawake 4 !!!
duh basi mkuu mbona hivi? una tatizo gani ? haha haha hahahaha
 
Back
Top Bottom