Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,583
ww hakika n mpenz wa Mungu
Sasa unajichanganya, ondoa neno hakika.
ww hakika n mpenz wa Mungu
Naam....
na mwanajf? sijawahi
usitoe siri za chumbani dear
Mmmmmh! na wewe binti wa kichaga una mambo! siyo tu kwamba wanaililia, wengine wanaua au kujiua kwa ajiri ya hiyo kitu. kha!!
Kwani huyo anaekula uroda wewe una uhakika gani kama siyo Mwana JF.
Mimi baba yangu yuko over 60 na anaingia JF ila sina uhakika tu kama ni member, kuna siku alinipa smartphone nimrekebishie app nikagunduwa anaingia humu na JF app ipo kwenye simu yake.
hii mambo ni kote kote, kuna wadada nao wanatangaza vile vile, kuna mdada niliwahi kumsikia anajisifia eti hadi sasa ameishatembea na wanaume 40 akiwemo na ali kiba. Mwingine naye niliwahi kumsikia anaji-proud eti katembea na fulani na fulani (akiwataja wale wanaume wa maana). So ni sifa kama zilivyo sifa nyingine za kijinga! na inategemea unamsimulia nani!! mara nyingi ni kutaka aonekane yuko juu kuliko nyie (anawasimulia)
Hivi dida naye si alitangaza kunaniliii na zito!!! au nimepoteza network
hahaha we nae umeitwa
Nadhani hao wanakuwa na akili za kivulana