Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

yani hadi alivyomkunjua kunjua ... mmoja akasema eti hadi alimtoa kinyesi jamani kama unampasi mwenzio siiwe siri yako loh....

ha ha ha so your proud of using it?

kuna rafiki yangu tulipokuwa o level yaani asigegede atanisimulia mpaka nikawa namkwepa halafu na stop kwa story zake noma kweli
 
Ni jambo la kushangaza kidogo kwanza kwenda kukaa kijiweni na kusema yule dada yule nishatembea nae na yuko hivi na hivi
Kwa wengine ni kujionyesha namna alivyo kidume mtaani kiasi cha kuweza kuwapitia wanawake kadhaa au wazuri au wagumu wanaowasumbua watu mtaani ila sioni kama ni la maana kutangaza kuwa huyu na huyu nimetembea nae
Mkuu kwanza habari za siku.
Umesema kweli ni kutojiamini na kutojitambua naweza kusema hivyo, lakini tatizo hilo lipo sana hasa siku hizi na hapa JF wapo wengi tu wanapeana uzoefu kupitia PM......
 
hii mambo ni kote kote, kuna wadada nao wanatangaza vile vile, kuna mdada niliwahi kumsikia anajisifia eti hadi sasa ameishatembea na wanaume 40 akiwemo na ali kiba. Mwingine naye niliwahi kumsikia anaji-proud eti katembea na fulani na fulani (akiwataja wale wanaume wa maana). So ni sifa kama zilivyo sifa nyingine za kijinga! na inategemea unamsimulia nani!! mara nyingi ni kutaka aonekane yuko juu kuliko nyie (anawasimulia)

Hivi dida naye si alitangaza kunaniliii na zito!!! au nimepoteza network
 
kuna rafiki yangu tulipokuwa o level yaani asigegede atanisimulia mpaka nikawa namkwepa halafu na stop kwa story zake noma kweli

si busara jamani muache hiyo tabia
 
Miss chagga, hayo utakuwa umeyasikia kwa wavulana, jaribu kijichanganya na wanaume ili utujue vizuri.
 
yani hadi alivyomkunjua kunjua ... mmoja akasema eti hadi alimtoa kinyesi jamani kama unampasi mwenzio siiwe siri yako loh....

ha ha ha so your proud of using it?

kuna rafiki yangu tulipokuwa o level yaani asigegede atanisimulia mpaka nikawa namkwepa halafu na stop kwa story zake noma kweli
 
mambo rafiki

kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:

  • ni ufahari/ushindi?
  • starehe?
  • unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa
kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu.....huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi....

wanaume fungukeni tupate kuelewa..

dahh najisikia raha sana nimetembea na miss chagga...

umeonaje hiyo?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom