Ney wa Barca
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 310
- 36
kumbe kwa wanaume tu............nimepita ndiki nduki#####
Mepotea njia please miss chagga naomba nielekeze pakwenda, maana hapa naona ni kwa wanao kojoa wakiwa wima teh teh
na bora ugeuze njia uliokujia.... wanaweza wakakutafuna hawa
yani hadi alivyomkunjua kunjua ... mmoja akasema eti hadi alimtoa kinyesi jamani kama unampasi mwenzio siiwe siri yako loh....
ha ha ha so your proud of using it?
Mepotea njia please miss chagga naomba nielekeze pakwenda, maana hapa naona ni kwa wanao kojoa wakiwa wima teh teh
Mkuu kwanza habari za siku.Ni jambo la kushangaza kidogo kwanza kwenda kukaa kijiweni na kusema yule dada yule nishatembea nae na yuko hivi na hivi
Kwa wengine ni kujionyesha namna alivyo kidume mtaani kiasi cha kuweza kuwapitia wanawake kadhaa au wazuri au wagumu wanaowasumbua watu mtaani ila sioni kama ni la maana kutangaza kuwa huyu na huyu nimetembea nae
kuna rafiki yangu tulipokuwa o level yaani asigegede atanisimulia mpaka nikawa namkwepa halafu na stop kwa story zake noma kweli
usitoke wasikilize tu hawa wanaume
Tunatofautiana ila mm ndo napigiwa stories na kinadada wakishafanywa
yani hadi alivyomkunjua kunjua ... mmoja akasema eti hadi alimtoa kinyesi jamani kama unampasi mwenzio siiwe siri yako loh....
ha ha ha so your proud of using it?
mambo rafiki
kuna jambo huwa naona nakulisikia pia na wakati mwingine kunikuta hata mimi.. swala la wanaume kujisifia kumfanya mapenzi mwanamke....hivi najiuliza yafuatayo:
kwa sababu wengine hadi kulilia papuchi tatalilia lakini akishakufanya tu anaanza kujisifu.....huko kwenye akili zenu huwa mnatafsiri vipi hiyo kitu nashindwa kuelewa mimi....
- ni ufahari/ushindi?
- starehe?
- unafurahi kudhalilisha mwanamke ? au nini hasa
wanaume fungukeni tupate kuelewa..
kumbe kwa wanaume tu............nimepita ndiki nduki#####